picha

Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.

Mabadiliko yanayotokea kwenye uke wa Mama pale anapobeba Mimba au pengine uitwa kwa kitaalamu Vagina.

1. Homoni ambayo huitwa ostrogen usababisha uke wa Mama kuwa Imara na mishipa ya damu uongezeka kwenye uke wa Mama mjamzito na rangi ya uke wa Mama mjamzito ubadilika na kuwa rangi ya viorate na sehemu ya uke uwa kama inavutika Ili kusababisha mtoto kupita wakati wa kujifungua.hayo yote utokea kwaenye uke wa Mwanamke Ili kumandaa Mwanamke aweze kuwa tayari kujifungua mimba ambayo unaendelea kukua.

 

2. Kuongezeka kwa majimaji kwenye uke maji haya ni ya kawaida uzalishwa na seli ambazo zimo kwenye uke, haya maji kwa kitaalamu huitwa leucorrhea haya Maji usaidia kuweka uke kwenye hali ya unyevunyevu na usaidia hasa wakati wa kujifungua kwa mama ambapo uzuia mikwaluzo kwa mtoto wakati wa kujifungua kwa hiyo wakati wa ujauzito maji kwenye uke uongezeka kuliko kawaida yaani  pale Mama kama Yuko kawaida.

 

3. Homoni ambayo huitwa ostrogen inachangia katika kulinda Mazingira kwenye uke akiwa na Mimba kwa kuhakikisha kuwa wadudu waharibifu wanashindwa kuishi kwenye uke wakati wa Mimba ambao wanaweza kusababisha uharibifu kwenye uke na kusababisha  Magonjwa kama vile kandidiasisi ambayo inaweza kuadhiri na mtoto akiwa tumboni na kuleta madhara makubwa kwa Mama Pia na kwa Mtoto akiwa  tumboni au wakati wa kujifungua.

 

4. Mama akiwa mjamzito uke wake uongezeka kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida,hii ni kwa sababu ya maandalizi ya kujifungua kwa sababu kiwango Cha uke wa Mama kinapaswa kulingana na kichwa Cha mtoto Ili mtoto aweze kupita vizuri kwenye uke wa Mama kwa hiyo wakati wa kujifungua wakunga inaewabidi kuangalia uke wa Mama kama mtoto anaweza kupita wakati wa kujifungua.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4767

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Damu, majimaji na uteute unaotoka kwenye uke wa Mjamzito, sababu zake na dalili zake

Unataka kujuwa sababu za mjamzito kutokwa na damu, utelezi ama majimaji kwenye uke wake. Na dalili gani zinaashiriwa na majimaji haya

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Soma Zaidi...
dalili za mimba changa na siku ya kupata mimba

Jifunze namna ya kuthibitisha dalili za ujauzito kuwa ni za kweli. Tambuwa namna ya kupima mimba na muda mujarabu wa kupima

Soma Zaidi...
Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)

Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake

Soma Zaidi...
Kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi

Posti hii inahusu zaidi sababu za kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi, kwa kawaida kondo la nyuma huwa nyuma ya mlango wa kizazi ila Kuna wakati kondo la nyuma ujishikisha mbele ya mlango wa kizazi.

Soma Zaidi...
Upungufu wa homoni ya cortisol

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye

Soma Zaidi...