Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.
Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.
1. Kuanzia wiki ya tatu ya ujauzito asilimia tisini ya wanawake wengi miili yao uwa na weusi fulani hii ni kwa sababu ya homone ambayo kwa kitaalamu huitwa melanocyte na kwa sababu ya kazi ya progesterone na oestrogen homoni hizi homoni ufanya sehemu za mwili kuwa nyeusi.
2.Msitari mweusi ambao unaanzia kwenye ambao kwa kitaamu huitwa linea nigra uonekana kwenye sehemu za tumbo huu stari huwa mweusi na uwepo mpaka pale Mama anapojifungua ndipo huu msitari upotea taratibu na baadae kutoweka.
3. Wanawake wengine huwa na Alama usoni ambayo kwa kitaalamu huitwa melasma or mask of plegnant, hizi Alama uwapata wanawake wajawazito ingawa sio wote, Kuna wanawake wengine wanaweza kuwa na Alama ambazo baadae watoto wanaweza kuzaliwa nazo kama Alama za wazazi wao.
4. Kwa sababu ya kuongezeka kwa tumbo la Mama akina mama wengine ngozi zao ujivuta kabisa na kusababisha Alama fulani kwa baadhi ya wanawake ambazo kwa kitaalamu huitwa striae gravidarum kwa sababu ya kuongezeka kwa Tumbo la Mama, hizi Alama upotea taratibu pindi Mama akimaliza kujifungua.
5. Kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha damu kwenye mwili hali hii uoneka kwa baadhi ya wanawake ambapo mishipa uonekana mpaka juu kuliko kawaida, kwa Sababu ya kuongezeka kwa damu kwenye ngozi na damu ukimbia sana kuliko kawaida kwa hiyo joto la wanawake uwa juu sio kwa ajili ya ugonjwa Bali ni joto linalosababishwa na wingi wa damu na mishipa kwenye ngozi ya Mama mjamzito.
6. Wanawake wakiona dalili zote hizi kwenye ngozi wasishangae kwa sababu ni hali ya kawaida inayotokea kwenye mwili pindi Mama anapobeba mimba na zile jamii ambazo zina Mila na desturi ambazo hazieleweki kwa dalili ambazo ujioshesha kwa akina Mama wajue kuwa ni kawaida na utokea wasitumie vitu vingine ambavyo umfikisha Mama kwenye hali ngumu na mbaya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.
Soma Zaidi...Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali?
Soma Zaidi...Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za mwanzoni za mimba changa kuanzia wiki moja baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...