Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.
Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.
1. Kuanzia wiki ya tatu ya ujauzito asilimia tisini ya wanawake wengi miili yao uwa na weusi fulani hii ni kwa sababu ya homone ambayo kwa kitaalamu huitwa melanocyte na kwa sababu ya kazi ya progesterone na oestrogen homoni hizi homoni ufanya sehemu za mwili kuwa nyeusi.
2.Msitari mweusi ambao unaanzia kwenye ambao kwa kitaamu huitwa linea nigra uonekana kwenye sehemu za tumbo huu stari huwa mweusi na uwepo mpaka pale Mama anapojifungua ndipo huu msitari upotea taratibu na baadae kutoweka.
3. Wanawake wengine huwa na Alama usoni ambayo kwa kitaalamu huitwa melasma or mask of plegnant, hizi Alama uwapata wanawake wajawazito ingawa sio wote, Kuna wanawake wengine wanaweza kuwa na Alama ambazo baadae watoto wanaweza kuzaliwa nazo kama Alama za wazazi wao.
4. Kwa sababu ya kuongezeka kwa tumbo la Mama akina mama wengine ngozi zao ujivuta kabisa na kusababisha Alama fulani kwa baadhi ya wanawake ambazo kwa kitaalamu huitwa striae gravidarum kwa sababu ya kuongezeka kwa Tumbo la Mama, hizi Alama upotea taratibu pindi Mama akimaliza kujifungua.
5. Kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha damu kwenye mwili hali hii uoneka kwa baadhi ya wanawake ambapo mishipa uonekana mpaka juu kuliko kawaida, kwa Sababu ya kuongezeka kwa damu kwenye ngozi na damu ukimbia sana kuliko kawaida kwa hiyo joto la wanawake uwa juu sio kwa ajili ya ugonjwa Bali ni joto linalosababishwa na wingi wa damu na mishipa kwenye ngozi ya Mama mjamzito.
6. Wanawake wakiona dalili zote hizi kwenye ngozi wasishangae kwa sababu ni hali ya kawaida inayotokea kwenye mwili pindi Mama anapobeba mimba na zile jamii ambazo zina Mila na desturi ambazo hazieleweki kwa dalili ambazo ujioshesha kwa akina Mama wajue kuwa ni kawaida na utokea wasitumie vitu vingine ambavyo umfikisha Mama kwenye hali ngumu na mbaya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto, ni Maambukizi ambayo yanaweza kutokea kwenye kitovu cha mtoto pale ambapo mtoto amezaliwa inawezekana ni kwa sababu ya hali ya mtoto au huduma kuanzia kwa wakunga na wale wanaotumia mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uchafu unaotoka ukeni na rangi zake, kwa kawaida ukeni utolewa uchafu, uchafu huo unaweza kuwa kawaida na unaweza kuwa na rangi mbalimbali kutokana na kuwepo kwa Maambukizi.
Soma Zaidi...Inashangaza sana, wakati wengine wanahangaika kutafutavijauzito kwa gharama yoyote ile, kuna wengine wanataka kutoa ujauzito kwa gharama yeyote ile. Unadhani njia za kienyeji sa kutoa mimba ni salama?
Soma Zaidi...Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua.
Soma Zaidi...Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa
Soma Zaidi...Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuangalia kama mtoto anapumua pindi anapozaliwa,tunajua kabisa ili kujua na kuelewa kama mtoto yuko hai ni lazima kuangalia upumuaji wa mtoto,ambapo tunaitambua pale anapolia tu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...