image

Madhara ya chakula kutosagwa vizuri tumboni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

Madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

1. Mzunguko wa damu kuharibika na kuwa mdogo.

Kwa kawaida ili chakula kiweze kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili utokana na kiwango cha kusagia kwa chakula tumboni na pia damu uweza kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa sababu ya kuwepo kwa mmeng'enyo mzuri wa chakula.

 

 

 

 

 

2. Maumivu kwenye kiuno na mgongo.

Kwa sababu chakula kinapaswa kusagwa vizuri kabisa na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili ni vizuri kabisa na pia kusipokuwepo hali ya chakula kusagwa usababisha maumivu ya mgongo na kiuno.

 

 

 

 

 

3. Miguu au mikono kufa ganzi.

Kwa kawaida kuna kipindi ambacho miguu na mikono ufa ganzi ila watu wengi huwa hawaelewi ni kwa sababu gani pengine ni tatizo la chakula kutosagwa vizuri tumboni.

 

 

 

 

4. Kuchoka haraka na kwa mara kwa mara.

Kwa sababu kila kitu mwilini kinapaswa kiwe sawa kabisa hasa usagaji wa vyakula mwilini kwa hiyo usagaji wa chakula isipokuwa vizuri usababisha  mtu kuchoka mara kwa mara.

 

 

 

 

 

5. Kukosa hamu ya kula chakula.

Kwa kawaida ili chakula kiweze kuliwa vizuri ni lazima kuwepo hali ya hamu ya kuwa chakula ni lazima kuwepo kwa hamu ya chakula kwa kufanya hivyo ni lazima kuwepo kwa hamu ya kula chakula.

 

 

 

6. Macho kushindwa kuona vizuri.

Kuna wakati mwingine macho yanashindwa kuona vizuri ni kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri kwa sababu baadhi ya virutubisho ukosa na macho yenyewe ushindwa kuona vizuri.

 

 

 

 

 

7. Mapigo ya moyo kwenda kwa haraka.

Kwa kawaida kama kuna shida kwenye mmeng'enyo wa chakula kuna vyakula mbalimbali ukosa ambavyo usababisha mapigo ya moyo kwenda kwa mbio.

 

 

 

 

8. Maumivu ya kichwa .

Kwa sababu ya kuwepo kwa mzunguko mbaya wa damu usababisha maumivu makali ya kichwa kwa sababu ya kuwepo kwa baadhi ya vyakula ambavyo usababisha maumivu makali ya kichwa.

 

 

 

 

9. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kujua tatizo hili na kulifanyia kazi kwa sababu likizidi sana usababisha matatizo makubwa kama tulivyoona yaona mbeleni.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1903


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali
Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia Soma Zaidi...

Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari. Soma Zaidi...

Njia za kukabiliana na minyoo
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo Soma Zaidi...

Namna ya kusaidia vijana wakati wa kubarehe
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo , Soma Zaidi...

Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo. Soma Zaidi...

Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.
Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu protini na kazi zake mwilini
Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii. Soma Zaidi...

binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?
Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani? Soma Zaidi...

Umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa aliyepatwa na presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka Soma Zaidi...