picha

Madhara ya fangasi ukeni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi ukeni, madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo mtu hakutibiwa fangasi mapema.

Madhara ya fangasi ukeni

1.Mimba kuharibika

Hii utokea pale ambapo maambukizi yameenea sehemu mbalimbali za via vya uzazi na. Kuharibu sahemu ambapo mtoto anajishiza na atimaye mimba ukosa sehemu ya kujishikisha na hatimaye kuaribika kwa mimba kabla ya wakati wake

 

2.fangasi zisipotibiwa usababisha Kansa ya mlango wa kizazi, hali hii utokea pale ambapo maambukizi kwenye uke yanazidi kuwa makubwa na hatimaye kuaribu sehemu mbalimbali za via vya uzazi na kumpelekea kupata Kansa ya mlango wa kizazi au Kansa kwenye via vya uzazi.

 

3. Kupata Homa na kizunguzungu.

Hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kuenea sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha Homa na kizunguzungu kwa mtu Mwenye maambukizi,kwa sababu ya kubadilika kwa hali ya kawaida ya mwili na kuaribu kwa sehemu mbalimbali za mwili na na Maambukizi usababisha kubadilika kwa joto la mwili pia.

 

4.Kuongezeka kwa miwasho.

Madhara ya fangasi ukeni usababisha kuwepo kwa miwasho kwenye sehemu za Siri, ambapo mwathirika ujikuna kila wakati na pengine kusababisha hali ya kutokuwa na amani, hali hii usababisha kuenea kwa ugonjwa wa fangasi ukeni kwa sababu mwenye maambukizi kama anajikuna na anaagusa vitu vya wengine anaweza kusambaza maambukizi kwa waliomzunguka.

 

5.Maumivu makali wakati wa kukojoa

Hali hii utokea kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi ukeni, pale ambapo maambukizi yameenea sehemu mbalimbali za via vya uzazi, usababisha michubuko kwa hiyo mtu akikojoa na mkojo ukagusa sehemu ya michubuko maumivu makali utokea na kusababisha  kukosa raha na amani kwa mgonjwa.

 

6, kwa hiyo tunaona kuwa madhara ya fangasi ukeni ni makubwa na usababisha madhara makubwa kwa wagonjwa na pengine ugumba kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu kwa maana unatibika na dawa hospitalin zipo na zinatibu ugonjwa huu tusiwatenge wale waliopata na ugonjwa huu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 3101

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Samahani naomba kuhuliza je unaweza kutokwa na maji maji ambayoa ayana rangi Wala harufu Ni dalili gani kwa mimba ya mwezi mmoja

ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito?

Soma Zaidi...
Tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Soma Zaidi...
Je inaweza ukaingia period wakati unaujauzito?

Ukiwa mjamzito unaweza kushuhudia kutokwa na damu. Je damu hii ni ya hedhi?

Soma Zaidi...
Mimba iliyotunga nje

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i

Soma Zaidi...
Sababu za Mayai kushindwa kuzalishwa kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.

Soma Zaidi...