Madhara ya fangasi ukeni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi ukeni, madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo mtu hakutibiwa fangasi mapema.

Madhara ya fangasi ukeni

1.Mimba kuharibika

Hii utokea pale ambapo maambukizi yameenea sehemu mbalimbali za via vya uzazi na. Kuharibu sahemu ambapo mtoto anajishiza na atimaye mimba ukosa sehemu ya kujishikisha na hatimaye kuaribika kwa mimba kabla ya wakati wake

 

2.fangasi zisipotibiwa usababisha Kansa ya mlango wa kizazi, hali hii utokea pale ambapo maambukizi kwenye uke yanazidi kuwa makubwa na hatimaye kuaribu sehemu mbalimbali za via vya uzazi na kumpelekea kupata Kansa ya mlango wa kizazi au Kansa kwenye via vya uzazi.

 

3. Kupata Homa na kizunguzungu.

Hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kuenea sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha Homa na kizunguzungu kwa mtu Mwenye maambukizi,kwa sababu ya kubadilika kwa hali ya kawaida ya mwili na kuaribu kwa sehemu mbalimbali za mwili na na Maambukizi usababisha kubadilika kwa joto la mwili pia.

 

4.Kuongezeka kwa miwasho.

Madhara ya fangasi ukeni usababisha kuwepo kwa miwasho kwenye sehemu za Siri, ambapo mwathirika ujikuna kila wakati na pengine kusababisha hali ya kutokuwa na amani, hali hii usababisha kuenea kwa ugonjwa wa fangasi ukeni kwa sababu mwenye maambukizi kama anajikuna na anaagusa vitu vya wengine anaweza kusambaza maambukizi kwa waliomzunguka.

 

5.Maumivu makali wakati wa kukojoa

Hali hii utokea kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi ukeni, pale ambapo maambukizi yameenea sehemu mbalimbali za via vya uzazi, usababisha michubuko kwa hiyo mtu akikojoa na mkojo ukagusa sehemu ya michubuko maumivu makali utokea na kusababisha  kukosa raha na amani kwa mgonjwa.

 

6, kwa hiyo tunaona kuwa madhara ya fangasi ukeni ni makubwa na usababisha madhara makubwa kwa wagonjwa na pengine ugumba kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu kwa maana unatibika na dawa hospitalin zipo na zinatibu ugonjwa huu tusiwatenge wale waliopata na ugonjwa huu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2245

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Huduma kwa mama mwenye mimba ambayo inataka kutoka.

Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.

Soma Zaidi...
Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha

Soma Zaidi...
Sababu za mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au

Soma Zaidi...
Kiwango cha juu cha Androgen

Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa.

Soma Zaidi...
tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba

Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?

Soma Zaidi...
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.

Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Soma Zaidi...
Ujue Ute kwenye uke

Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.

Soma Zaidi...
Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.

Soma Zaidi...
Mwanamke anatema mate mara kwa mara je inaweza kuwa ni ujauzito?

Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.

Soma Zaidi...