Madhara ya kunywa pombe kiafya

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.

Madhara ya kunywa pombe kiafya.

1. Pombe iliyopita kiasi Usababisha matatizo kwenye moyo kwa sababu udhoofisha mishipa na mishipa kushindwa kusukuma damu kwa hiyo wa nywaji wa pombe wanapaswa kupunguza ili kuepuka madhara ya magonjwa wa moyo.

 

2. Matatizo ya ini .

Kwa sababu ya kuwepo kwa sumu inayosababishwa na unywaji wa pombe Usababisha sumu kubwa mwilini ambayo uweza kushambulia ini na kusababisha Magonjwa ya ini kwa hiyo wanywaji wa pombe kupita kiasi wanapaswa kujua hili.

 

3. Watumiaji wa pombe wako kwenye hatari ya kupata tatizo la shinikizo la damu kwa sababu ya kulegea kwa mishipa inayosukuma damu.

 

4. Pia unywaji wa pombe unasababisha kuwepo kwa ugonjwa wa Anemia kwa sababu seli kushindwa kusafilisha damu.

 

5. Pia matatizo ya unywaji wa pombe Usababisha kuwepo kwa ugonjwa wa saratani kwa sababu ya kuwepo kwa sumu nyingi mwilini.

 

6. Pia matatizo ya pombe Usababisha kusinyaa kwa ubongo kwa sababu ubongo ushindwa kufanya kazi vizuri kwa hiyo tunapaswa kuacha kutumia pombe.

 

7. Kwa sababu ya matumizi ya pombe kunaweza kuwepo na msongo wa mawazo kwa sababu ya kuaribika na kemikali zinazosafirisha damu mpaka kwenye ubongo.

 

8. Kwa kujua adhari za pombe tunapaswa kuacha kutumia pombe ili kuweza kuepuka madhara makubwa ambayo yanaweza kutokea katika maisha yetu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1816

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Kazi ya chanjo ya Surua

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.

Soma Zaidi...
Upungufu wa damu mwilini

Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kupoteza fahamu.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kupoteza fahamu, ni sababu ambazo umfanya mtu kupoteza fahamu kwa sababu mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Faida za damu kwenye mwili

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...
Kazi ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.

Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na minyoo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo

Soma Zaidi...
Ambao hawapaswi kupata chanjo

Posti hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kupewa chanjo, hawa ni wale ambao wana hali tofauti na ikitokea wakapata chanjo wanaweza kupata madhara badala ya kuwasaidia.

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Kuboresha afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya

Soma Zaidi...