Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.
Madhara ya kunywa pombe kiafya.
1. Pombe iliyopita kiasi Usababisha matatizo kwenye moyo kwa sababu udhoofisha mishipa na mishipa kushindwa kusukuma damu kwa hiyo wa nywaji wa pombe wanapaswa kupunguza ili kuepuka madhara ya magonjwa wa moyo.
2. Matatizo ya ini .
Kwa sababu ya kuwepo kwa sumu inayosababishwa na unywaji wa pombe Usababisha sumu kubwa mwilini ambayo uweza kushambulia ini na kusababisha Magonjwa ya ini kwa hiyo wanywaji wa pombe kupita kiasi wanapaswa kujua hili.
3. Watumiaji wa pombe wako kwenye hatari ya kupata tatizo la shinikizo la damu kwa sababu ya kulegea kwa mishipa inayosukuma damu.
4. Pia unywaji wa pombe unasababisha kuwepo kwa ugonjwa wa Anemia kwa sababu seli kushindwa kusafilisha damu.
5. Pia matatizo ya unywaji wa pombe Usababisha kuwepo kwa ugonjwa wa saratani kwa sababu ya kuwepo kwa sumu nyingi mwilini.
6. Pia matatizo ya pombe Usababisha kusinyaa kwa ubongo kwa sababu ubongo ushindwa kufanya kazi vizuri kwa hiyo tunapaswa kuacha kutumia pombe.
7. Kwa sababu ya matumizi ya pombe kunaweza kuwepo na msongo wa mawazo kwa sababu ya kuaribika na kemikali zinazosafirisha damu mpaka kwenye ubongo.
8. Kwa kujua adhari za pombe tunapaswa kuacha kutumia pombe ili kuweza kuepuka madhara makubwa ambayo yanaweza kutokea katika maisha yetu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.
Soma Zaidi...Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa.
Soma Zaidi...