Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kwamba Ugonjwa huu ni matokeo ya kushambuliwa kwa layer za spinal cord na ubongo ambazo Usababisha kuongezeka kwa kiwango kikubwa cha maji maji ambayo yapo kwenye ubongo na sehemu ya spinal cord, hali hii usababisha matatizo mbalimbali kwenye mfumo mzima wa ubongo.

 

2. Pia kwa kuwa Ugonjwa huu usambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia rahisi ambayo ni pamoja na kukaribiana kwa kugusa maji maji yoyote kutoka kwa mgonjwa na utampata mtu endapo na yeye atakuwa na Mgonjwa karibu kwa yugonjwa huu husipotibiwa mapema uweza kusababisha madhara kwa watu wanaomtunza Mgonjwa hasa hasa kama hawana maarifa kuhusu Ugonjwa huo 

 

3. Pia kama Ugonjwa huu hautatibiwa mapema usababisha kuharibika kwa mifumo mingine mwilini ambayo kwa kitaalamu huitwa cerebral infarction, kwa hiyo hasa hasa Tatizo la usafirishaji wa damu kutoka kwenye moyo kwenda kwenye sehemu nyingine za mwili uleta shida kwa hiyo hali hii usababisha damu kushindwa kusafirishwa kwenye ubongo.

 

4. Vilevile kunakuwepo na matatizo katika sehemu mbalimbali za nje ya mishipa ya moyo ambayo kwa kitaalamu huitwa endocarditis, ni Maambukizi kwenye sehemu za mishipa ya moyo.

 

5. Kwa hiyo baada ya kujua matatizo hayo yote tunapaswa kuwa makini na Ugonjwa huu kuhakikisha kwamba tunatibu mapema kama imegunduliwa mapema ili kuweza kuepuka matatizo na madhara ambayo yanaweza kutokea yakawa mabaya zaidi.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/06/07/Tuesday - 07:01:23 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 819

Post zifazofanana:-

Dalili kuu za Malaria mwilini
Malaria husababishwa na vijidudu vidogo parasite wanaojulikana kama plasmodium. Vijidudu hivi hubebwa na mbu aina ya anophelesi. Kuna ina nyingi za plasmodium lakini aina 5 tu ndizo husababisha malaria Soma Zaidi...

Fahamu mapacha wanavyounganishwa.
Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa vijusi viwili vitakua kutoka kwa kiinitete hiki, wataendelea kushikamana mar Soma Zaidi...

Faida za limao au ndimu
Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya Soma Zaidi...

Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa. Soma Zaidi...

Nini husababisha uke kuwa mkavu
Post hii inakwenda kukupa sababu zinazoweza kupelekea uke kuwa mkavu yaani kukosa majimaji wakati wa kufanya tendo la ndoa. Soma Zaidi...

Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa?
Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa. Soma Zaidi...

Je daktari hizo dalili zamwanzo za HIV hazioneshi kama mwili kupungua
Dalili za HIV zina utofauti na dalili za UKIMWI. Kwani HIV huwezakuonyesha dalili wiki ya pili hadi ya sita baada ya kuathirika kisha zinapotea, lakini dalili za UKIMWI huwezakutokea baada ya miaka 5 hadi 10. Soma Zaidi...

Yajue magonjwa nyemelezi.
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi ambayo kwa kawaida utokea pale ambapo kinga ya mwili inashuka. Soma Zaidi...

Vyakula kwa wenye matatizo ya macho
Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa. Soma Zaidi...

Dawa za utbu Fangasi wa wenye ucha
Maala h nawenda kukufundisha matbabu ya utbu fangas wa wenye ucha. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu Ugonjwa wa ukoma
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ukoma, ni Ugonjwa unaosababishwa na mdudu anayeitwa mycobacterium leprae, mdudu huyu kwa kawaida uathiri sana sehemu za ngozi na sehemu za Neva mbalimbali za mwili Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin K
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K Soma Zaidi...