Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa.

Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.

1. Uongeza sumu mwilini kwa sababu dozi hauishii na mara nyingine dawa utumika pasipokuwepo na mpangilio hatimaye badala ya kutibu dawa hiyo uwa sumu.

 

2. Dawa utengeneza usugu wa magonjwa.

Kwa wakati mwingine dawa zinawe kutumika visivyo na kuwafanya wadudu wanaosababisha ugonjwa huo kubwa sugu na kusababisha madhara makubwa ambapo kila dawa ikitumika Ugonjwa hauponi.

 

3. Uweza kusababisha saratani.

Kwa kawaida saratani nyingine Usababishwa na kutumia dawa visivyo kwa sababu ya mrundikano wa madawa yasiyokuwa na mpangilio usababisha kuwepo kwa saratani.

 

4. Kwa mara nyingine matumizi ya dawa bila ushauri wa kitaalamu uweza kusababisha kifo kwa sababu kuna dawa ambazo mtu mwenye presha hapaswi kutumia ila kwa sababu ya kutojua mtu anatumia na anaweza kusababisha kifo.

 

5. Pengine dawa zinaweza kuibua tatizo la mzio(aleji) kwa sababu mtu hajui kama ana aleji na dawa zipi anatumia tu.

 

6. Pia dawa hizi za bila kutumia utaalamu zinaweza kuharibu afya ya mama na mtoto kwa hiyo tujue wazi kuna dawa ambazo Mama hapaswi kutumia kama ana mimba.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1402

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 web hosting    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.

Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Njia za kuingiza chanjo mwilini

Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa

Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa watoto

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto

Soma Zaidi...
Matokeo ya maumivu makali.

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu

Soma Zaidi...
Maana ya afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya afya

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamini

Soma Zaidi...