Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.
1. Upelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa.
Kwa kawaida Ili tendo la ndoa liweze kufanyika ni lazima mwili wote uwe imara na pia kusiwepo na maumivu yoyote, kwa kitendo cha kuwepo kwa maumivu kwenye nyonga usababisha pia kuwepo kwa maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa maumivu hayo uanza taratibu na pia uongezeka na kuwa makali Zaidi endapo matibabu yasipokuwepo.
2. Upelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili.
Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye kiuno pia usababisha maumivu kwenye baadhi ya viungo vya mwili na pengine usababisha damu isiendelee kupita kwenye baadhi ya sehemu za mwili na kusababisha baadhi ya viungo kupooza kwa sababu ya kuzuiliwa kwa mzunguko wa damu.
3. Usababisha kuwahi kufika kileleni wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Kwa kawaida damu ikishindwa kusafiri vizuri kwenda mwili kwa sababu ya kuwepo kwa mkandamizo wa nevu na hivyo hivyo na baadhi ya mifumo ya mwili nayo upata matatizo mbalimbali kama vile kufika kileleni mapema au kuchoka sana baada ya tendo la ndoa.
4. Kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu kwenye nyonga na kiuno, Kuna uwezekano wa kushindwa kutembea kabisa kwa sababu ya kuchoka kwa misuli inayosababisha miguu iweze kusimama na mtu kabisa anaweza kufikia huko.
5. Kwa hiyo baada ya kujua madhara ya kutotibu maumivu kwenye kiuno pia kwenye nyonga ni vizuri kabisa kutafuta matibabu kwa kuongea na wataalamu wa afya Ili kuweza kupata tiba muhimu na yenye maana kwa kufanya hivyo tutaweza kuepuka matatizo na madhara mbalimbali kwenye mwili.
6. Na pia katika matibabu tunapaswa kuepuka na Mila na desturi ambazo zinaponga matibabu ya hospital na kuamini Sana matibabu ambayo hayafai yanayopelekea kuwapoteza wenzetu au kupata matatizo zaidi ya Yale ya mwanzo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ugonjwa wa UTI
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukufundisha kuhusu matibabu ya vidonda vyatumbo. Pia utajifunza kwa nini kunakuwa na vidonda vya tumbo sugu.
Soma Zaidi...Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara
Soma Zaidi...Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza kiwango cha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa hiyo zifuatazo ni mbinu ambazo zinapaswa kutumika ili kupunguza kiwango cha magonjwa ya kuambukiza.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...