picha

Madhara ya minyoo

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;

1. Kupungukiwa damu, hii ikiwezekana endapo minyoo itakuwa inakiuka rasilimali, vingeweza kufanya mwili kuwa imara na uweze kutengeneza damu.

 2. Udhaifu wa mwili

 2. Kuungua uzito

 3. Kukonda

 4. Maradhi ya ini na akili

 5. Miwasho

 6. Maumivu ya tumbo

  7.kutapika 

   8.kukosa hamu ya kula au kula Sana kupita  kiasi

 

   Mwisho; madhara ya minyoo hutokea minyoo wakizidi hivyo Ni vyema mtu kutumia dawa za minyoo Kila baada ya miezi 6 ili kuilinda afya yako.

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3323

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 ai web app     πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     πŸ‘‰5 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Magonjwa ya moyo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu magonjwa ya moyo

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa kaswende

Post hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa watu wote, kwa sababu ugonjwa huu una dalili ambazo upitia kwa hatua mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI kwa Mwanamke Zinazoonekana Mapema

​Muhtasari ​Makala haya yanatoa mwongozo wa kielimu kuhusu ishara za awali ambazo mwili wa mwanamke unaweza kuonyesha baada ya kuambukizwa virusi vya UKIMWI (HIV). Tunasisitiza kuwa dalili hizi si mbadala wa vipimo vya maabara na tunahimiza upimaji wa hiari kwa ajili ya afya bora.

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za Ugonjwa wa akili.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa akili .

Soma Zaidi...