Madhara ya minyoo
Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;
1. Kupungukiwa damu, hii ikiwezekana endapo minyoo itakuwa inakiuka rasilimali, vingeweza kufanya mwili kuwa imara na uweze kutengeneza damu.
2. Udhaifu wa mwili
2. Kuungua uzito
3. Kukonda
4. Maradhi ya ini na akili
5. Miwasho
6. Maumivu ya tumbo
7.kutapika
8.kukosa hamu ya kula au kula Sana kupita kiasi
Mwisho; madhara ya minyoo hutokea minyoo wakizidi hivyo Ni vyema mtu kutumia dawa za minyoo Kila baada ya miezi 6 ili kuilinda afya yako.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 ai web app 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Dalili za Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (uterine fibroid)
Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida.
Soma Zaidi...Njia salama za kuongeza uwezo wa kushika mimba.
Kupata ujauzito ni safari inayohitaji maandalizi ya mwili na akili. Kwa wanandoa wengi, mabadiliko madogo lakini yenye tija katika mtindo wa maisha yanaweza kuongeza nafasi za kupata mtoto kwa kiasi kikubwa. Makala hii inaangazia mbinu zilizothibitishwa kisayansi za kuboresha afya ya uzazi na kuongeza nafasi za kushika mimba kwa njia salama na ya asili.
Soma Zaidi...Kupatwa na ujauzito ukiwa unanyonya: Inawezekana?
Wengi wanaamini kuwa kunyonyesha ni njia tosha ya kuzuia mimba, lakini je, hii ni kweli kisayansi? Makala hii inachambua kwa kina uwezekano wa kupata ujauzito wakati unanyonyesha, jinsi mfumo wa homoni unavyofanya kazi katika kipindi hiki, na mikakati ya uzazi wa mpango inayopendekezwa na wataalamu wa afya. Lengo ni kuwapa akina mama elimu sahihi ya kulinda afya yao na kupanga uzazi kwa ufanisi.
Soma Zaidi...Virusi vinavyopelekea Kuharisha Sana na Kutapika Sana(norovirus)
Maambukizi ya Norovirus yanaweza kusababisha kutapika sana na Kuhara. Virusi huambukiza sana na kwa kawaida huenea kupitia chakula au maji ambayo yamechafuliwa na kinyesi wakati wa kutayarisha. Unaweza pia kuambukizwa kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu
Soma Zaidi...Ugonjwa wa macho
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...