image

Madhara ya mwili kushindwa kutengeneza projestron ya kutosha

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.

Madhara ya mwili kushindwa kutengeneza projestron ya kutosha..

1. Kwanza kabisa tunafahamu wazi kwamba mwili wa binadamu unapaswa kuwa na homoni sawa kwa hiyo homoni Moja ikiwa nyingi kupita nyingine usababisha Ile homoni iliyotawala kufanya kazi zaidi kuliko nyingine na sifa za nje  na za ndani ufanana na Ile homoni ambayo utawala nyingine.

 

2. Kuna wakati mwingine mwilini huwa Kuna kipindi cha homoni ya estrogen uwa nyingi kuzidi homoni ya progesterone  hali ambayo usababisha kiwango cha estrogen kuongezeka na kwa kiasi kikubwa sana na kusababisha matatizo mbalimbali kwenye mwili .

 

3.Kwa hiyo kama Kuna tatizo hili la kupunguza kwa homoni ya progesterone Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mfano kwa upande wa akina dada homoni hii inatoa mchango mkubwa sana hasa wakati wa uchevushaji wa mayai kwa hiyo homoni hii ikikosekana Kuna uwezekano wa hedhi kutoenda sawa au kwa wakati mwingine kushindwa kubeba mimba.

 

4. Kwa upande wa akina Mama wenye mimba homoni hii usaidia katika makuzi ya mtoto na katika kuonyesha dalili zote za mimba kwa hiyo kama mama mwenye mimba akikosa homoni hii Kuna uwezekano wa kupata shida katika ukuaji wa mtoto kwa sababu ya kutegemea homoni Moja tu yaani homoni ya estrogen badala ya kuwepo kwa homoni zote mbili.

 

5 .kwa hiyo tunapaswa kuchukua hatua na kupata matibabu ikitokea tatizo la Namna hii hii Ili kuweza kuokoa maisha ya Mama na mtoto au kuepuka ugumba na matatizo mengine kama hayo.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1184


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba. Soma Zaidi...

Upungufu wa homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili. Soma Zaidi...

Hatari ya kutokwa na damu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi hatari za kutokwa na damu wakati wa ujauzito, hali hii utokea wakati wa ujauzito ambapo Kuna baadhi ya wajawazito utokwa na damu jambo ambalo hatupaswi kutarajia kwa sababu tunafahamu kabisa mama akishapata ujauzito na damu zinakom Soma Zaidi...

Kwa nini hujapata siku zako za hedhi.
Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako. Soma Zaidi...

Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi Soma Zaidi...

Madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji, ni madhara madogo madogo ambayo utokea kwa watumiaji wa matatizo ya kupumua. Soma Zaidi...

Madhara ya kutumia vidonge kwa akina dada vya uzazi wa mpango
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada. Soma Zaidi...

Dalili za uchungu
Uchungu wa uzazi hutokana na kubana nakuachia kwa misuli hii husababishwa kufunhuka kwa mlango wa tumbo la uzazi pamoja na shingo ya kizazi na kumuongezea mama uchungu wakati wa kujifungua(during labour) Pia kubana na kuachia huanza polepole wakati wa Soma Zaidi...

Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako. Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa Soma Zaidi...

Mambo yanayopelekea ugumba.
Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi. Soma Zaidi...

Dalili za kasoro ya moyo ya kuzaliwa kwa watu wazima
Ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa nao (kasoro ya moyo ya kuzaliwa) ni hali isiyo ya kawaida katika muundo wa moyo wako unaozaliwa nao. utu uzima. Ingawa maendeleo ya kimatibabu yameboreshwa, watu wazima wengi walio na ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa wanaweza wasip Soma Zaidi...