Madhumuni ya dola ya uislamu
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
- Madhumuni ya Dola ya Kiislamu.
- Kujenga maisha ya mwanaadamu yaliyo katika misingi ya (Tawhiid) Ucha-Mungu na matendo mema.
- Kuondosha uovu, dhuluma, ukandamizaji, maasi, ukatili, tabaka, unyonyaji, uonevu, n.k katika jamii. Qur’an (57:25).
- Kutumia mamlaka katika kusimamia na kuendeleza maadili katika maisha ya jamii. Qur’an (22:25).
- Kusimamia na kulinda haki na uadilifu kwa wanaadamu wote na viumbe wengine.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐2 web hosting ๐3 Kitabu cha Afya ๐4 Bongolite - Game zone - Play free game ๐5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐6 Dua za Mitume na Manabii
๐1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐2 web hosting ๐3 Kitabu cha Afya ๐4 Bongolite - Game zone - Play free game ๐5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Mji wa Makkah na kabila la kiqureish
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Historia ya Watoto Wawili wa Nabii Adam
โNa wasomee khabari za watoto wawili wa Adam kwa kweli, walipotoa sadaka, ikakubaliwa ya mmoja wao na ya mwingine haikukubaliwa Akasema (yule asiyekubaliwa sadaka yake): โNitakuuaโ.
Soma Zaidi...Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Shuโayb(a.s).
Kutokana na kisa cha Nabii Shuโayb(a.
Soma Zaidi...