Madhumuni ya dola ya uislamu
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
- Madhumuni ya Dola ya Kiislamu.
- Kujenga maisha ya mwanaadamu yaliyo katika misingi ya (Tawhiid) Ucha-Mungu na matendo mema.
- Kuondosha uovu, dhuluma, ukandamizaji, maasi, ukatili, tabaka, unyonyaji, uonevu, n.k katika jamii. Qur’an (57:25).
- Kutumia mamlaka katika kusimamia na kuendeleza maadili katika maisha ya jamii. Qur’an (22:25).
- Kusimamia na kulinda haki na uadilifu kwa wanaadamu wote na viumbe wengine.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 web hosting π3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π4 Kitau cha Fiqh π5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π6 Dua za Mitume na Manabii
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 web hosting π3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π4 Kitau cha Fiqh π5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Mafunzo yatokanayo na maandalizi ya mtume ki-wahay
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...tarekh 3
KUCHIMBWA UPYA KISIMA CHA ZAMZAMKwa kifupi ni kuwa Abdul-Muttalib alipata agizo kutoka ndotoni kuwa achimbe kisima cha zamzam, na akaelekezwa sehemu ya kupachimba.
Soma Zaidi...Historia ya Watoto Wawili wa Nabii Adam
βNa wasomee khabari za watoto wawili wa Adam kwa kweli, walipotoa sadaka, ikakubaliwa ya mmoja wao na ya mwingine haikukubaliwa Akasema (yule asiyekubaliwa sadaka yake): βNitakuuaβ.
Soma Zaidi...