Hspa utajifunza viwango maalumu vya kutithi mirathi ys kiislamu.
Mafungu ya urithi yaliyotajwa katika haya sita yafutayo:
1.Nusu (1/2)
2.Robo (1/4)
3.Thuluthi. (1/3)
4.Thuluthi mbili (2/3) 5.Sudusi. (1/6)
6.Thumuni (1/8)
Mwenye kupewa mafungu
Katika warithi kuna wenye kupata mafungu maalum katika hayo mafungu sita; na kuna wasiokuwa na mafungu maalum ambao hupata kilichobakia baada ya wenye mafungu kuchukua mafungu yao au kupata mali yote ikiwa hapana wenye mafungu. Wasio na mafungu huitwa asaba.
Wenye mafungu maalum katika urithi ni watu kumi na na mbili (12) wafuatao:
I .Baba.
2.Babu.
3.Binti. 4.Binti wa mtoto mwanamume (mjukuu).
5.Ndugu wa kwa mama.
6. Dada wa kwa baba na mama.
7.Dada wa kwa baba.
8.Dada wa kwa mama.
9.Mama.
1O.Bibi.
11.Mume.
12. Mke.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKwa nini Lengo la Funga halifikiwi na Wafungaji Wengi?
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya sinnah ya tawba.
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kukufunza utofauti kati ya uadilifu na usawa
Soma Zaidi...(iii) Adhabu ya UzinifuKatika Sheria ya Kiislamu mtu haadhibiwi mpaka atende kwa uwazi matendo yenye kuvuruga utaratibu na amani ya jamii.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza utaratibu wa hutuba ya ndoa ya kiislamu. Sharti za jutuba ya ndoa na jinsibya kuozesha
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي عَبْدِ اللَّهِ النُّعْمَانِ بْنِ بَشِيرٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا، قَالَ: سَمِعْت رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَقُ?...
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...