Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi
1.Magonjwa haya yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja kwa sababu ya moja kwa moja ni Maambukizi ya moja kwa moja kutoka kwa mtu au kwa kitu kinachoeneza ugonjwa kwa mfano Magonjwa ya kujamiiana, kugusana,kubusiana na mengine kama hayo .
2.Maambukuzi yasiyo ya moja kwa moja.
Kuna Maambukizi ambayo upitia kwa vitu au kitu na kufikia kwa mhusika na kuisambaza Magonjwa kwa mfano kupitia kwa wadudu ambao wanakuwa wamebeba magonjwa au kupitia kwa kitu chochote ambacho ubeba wadudu wanaosababisha magonjwa kwa mfano kwenye damu utakuta wadudu wanaosababisha homa ya ini, Ukimwi, magonjwa ya zinaa na mambo yote ambayo upitia kwenye damu.
3. Pengine wadudu wanaweza kupitia kwenye vimiminika na kusambazwa kwa mtu na akapata ugonjwa kwa mfano mtu akipiga chafya yale maji yanasambaa kwenye sehemu fulani ya mwili wa mwingine mtu huyo anaweza kupata magonjwa, au pengine wakati wa kukohoa, kubusiana na mambo kama hayo kwa hiyo tunapaswa kuwa makini na maji maji kutoka kwa mgonjwa kwenda kwa mtu mzima.
4. Pengine ugonjwa unaweza kusambaa kwa njia ya hewa ambapo kwa kitaalamu huitwa aibone diseases , magonjwa haya usambaa kwa njia ya hewa kwa hiyo tuwe makini kwa watu tunaowahudunmmia ili kuepuka Maambukizi.
5. Kupitia kwa wadudu.
Hali hii utokea pale wadudu kama plasmodium, chawa na wengine na wanaosababisha ugumjwa kwa hiyo tunapaswa kuwalinda wagonjwa wetum
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Soma Zaidi...Ujue ugonjwa wa Njia ya mkojo unaoitwa urethra stricture. Ambapo kwenye hii posti inaonyesha dalili na Sababu zinazopelekea Njia ya mkojo kuwa ngumu,nyembamba,na kovu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha,
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito, kaswende inaweza kukaa kwa mtu zaidi ya miaka mingi bila kuleta madhara ya moja kwa moja lakini kadiri ya siku zinavyokwenda madhara utokea hasa wakati wa ujauzito, madhara hayo umwadhiri mtot
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani.
Soma Zaidi...Ni muda gani nitaanza kuona dalili za HIV na kilimo kitaonyesha kuwa nimeathirika?
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili,Sababu,na namna ya kujikinga na ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani ambao kitaalamu hujulikana Kama orchitis.
Soma Zaidi...