image

Mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.

Mahusiano ya vijana wawili.

1. Palikuwepo na vijana wawili mmoja aliitwa Jackie na mwingine Julius, vijana hao walikutana shuleni wote kuanzia chekechea mpaka darasa la saba, kitabia walikuwa na tabia tofauti kabisa, Jackie alikuwa mchangamfu sana ila Julius alikuwa mpole mno mzito na kwa ujumla ufaulu wake darasani haukua mzuri kuanzia darasa la tano mpaka la saba alianza kuchangamka na kufaulu kidogo kidogo.

 

 

 

 

 

2. Wakati wako primary ila shule ilikuwa ni shule ya kulala walipokuwa wanafunga Jackie alikuwa anaenda kwa bibi na Julius kwao ila hawakujua ya

 kwamba walikuwa majirani, ila walipomaliza darasa la saba ndipo waliona wazazi wao wanakuja kwa wakati mmoja na watoto hawakujua kabisa kwamba walikuwa majirani kwa hiyo tangia siku hiyo wakajua na na wakaenda nyumbani wakakuta kuwa ni majirani wakaanza kutembeleana na kuangalia move kipindi wazazi wako kazini.

 

 

 

 

 

3. Basi katika kukaa wenyewe katika kipindi cha likizo ya baada ya darasa la saba wakisubiri matokeo ya kwenda sekondari wakaanza mahusiano kati yao na waliwashawishi wazazi kuwapeleka shule moja ya sekondari wakaenda wanajitambulisha kama ni ndugu pale shuleni wakasomo ila Jackie alikuwa na akili sana kuliko mwenzake na pia alikuwa na wivu kupita kiasi mpaka akikuta msichana anaongea na Julius alikuwa anachukia mpaka anazimia.

 

 

 

 

 

4. Kwa hiyo na ufaulu wa jack ulishuka mno yaani kutoka wa kwanza mpaka kuacha watu wawili nyuma ili kuwa wa mwisho ni kwa sababu ya wivu kwa Julius basi mama akafanya mpango wa kumwamisha mwanael ili mvulana nnaye akafanya mpango akaenda shule  ya jack alipohamia na wakaenda wote shule moja wala na  wakaendelea na mahusiano kawaida.

 

 

 

 

 

5. Yaani walikuwa na tabia hiyo ya kutembea wameshikana mikono na baadae waalimu hawakuelewa kwa sababu ya upendo kati kati.

 

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 973


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Usichofahamu kuhusu mazoezi
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi. Soma Zaidi...

Hadithi hii inahusu hasara za wivu na kutokuwa wazi
Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu, kwa sababu ya kuwepo kwa marafiki wasio waaminifu wanasababisha kuharibiana maisha bila kujua kwa sababu ya kuonekana wivu na kutokuwa wazi. Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, tunajua kuwa mama yake na binti alimtorisha yule binti mbali kabisa ila kijana naye aliamua kutoroka na kumfuata binti mfalme na hatimaye akampata alipo. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima. Soma Zaidi...

SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule. Soma Zaidi...

Hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na Soma Zaidi...

Mtoto wa tajiri na maskini (sehemu ya pili)
Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara. Soma Zaidi...

JIFUNZE DINI YA KIISLAMU, quran, hadithi, tawhid, tajwid, sira na fiqh
Jifunze mengi kuhusu dini hapa Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya kwanza)
Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita
Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya. Soma Zaidi...