image

Maji ya Amniotic

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

Kazi za maji ya Amniotic

1. Yanazuia mtoto kutokana na hatari zozote.

Maji haya umsaidie mtoto kutokana na hatari mbalimbali ambazo zinaweza kuleta madhara makubwa kwa mtoto, kwa mfano Kuna familia nyingine ambazo wazazi wanagombana mara kwa mara wakati mwingine mama anaweza kupigwa kwenye tumbo lakini mtoto hawezi kupata madhara yoyote kwa sababu ya kuwepo kwa maji ya Amniotic fluid,kwa hiyo maji haya ni ya maana kwa mtoto kwa sababu umkinga mtoto dhidi ya uharibifu wowote.

 

2. Umsaidie mtoto aweze kujongea akiwa tumboni.

Mtoto akiwa tumboni ujongea kutoka sehemu Moja kwenda sehemu nyingine kwa hiyo mtoto utembea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa kutumia maji ya Amniotic fluid, tuliwahi kusikia kuwa mtoto huwa anatembea akiwa tumboni kwa kupitia maji haya mtoto uweza kutembea kutoka sehemu Moja kwenda sehemu nyingine.

 

3.Maji ya Amniotic fluid umsaidie mtoto kuwa na temperature ambayo ni sawia kwa hiyo Kuna Temperature ambayo uhitajika kwa mtoto Ili aweze kuishi vizuri  akiwa tumboni kwa hiyo haya Maji umfanya mtoto kuwa na joto linalohitajika ambalo haliwezi kupungua au kuongezeka zaidi kwa hiyo kwa kuwepo kwa maji haya joto la mwili ubaki lilies sawia.

 

4. Maji ya Amniotic fluid I usaidia mtoto aweze kupata chakula chake, tukumbuke kuwa maji haya ni masafi sana ingawa mtoto ukaa ndani yake kwa hiyo mtoto anaweza kupata chakula chake kupitia maji haya  ambayo ukaa ndani ya mtoto kwa hiyo kupitia maji haya mtoto uweza kupata chakula chake.

 

5. Maji ya Amniotic fluid usaidia kutoa uchafu kutoka kwa Mtoto kwenda kwa Mama kwa ajili ya kufanya mazingira kuwa Safi, kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kwa mtoto uchafu huo utolewa kupitia kwenye placenta na pia kwenye maji ya Amniotic fluid uchafu nao unaweza kupitia kwa hiyo tunaona maji haya yalivyo na faida kwa mtoto akiwa tumboni.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1507


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Jinsi ya kupata mtoto wa kiume
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume. Soma Zaidi...

Fahamu dalili za mapacha walio unganishwa
Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa fetusi mbili zitakua kutoka kwa kiinitete hiki, zitabaki zimeunganishwa mar Soma Zaidi...

Njia za uzazi wa mpango
Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji Soma Zaidi...

Lazima matiti kuuma ka mimba changa?
Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika Soma Zaidi...

Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona. Soma Zaidi...

Dalili za kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

mim mjamzito lakini maumwa kiuno nakuacha nakuvuta ukeni wiki ya 39 na siku4
Soma Zaidi...

Namna za kujilinda na fangasi ukeni
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni. Soma Zaidi...

Sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu
Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h Soma Zaidi...

Nini husababisha uke kuwa mkavu
Post hii inakwenda kukupa sababu zinazoweza kupelekea uke kuwa mkavu yaani kukosa majimaji wakati wa kufanya tendo la ndoa. Soma Zaidi...

Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke Soma Zaidi...

Sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake Soma Zaidi...