Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun
Makundi yenye hatari ya kupata ngiri.
1. Kundi la kwanza ni mama wajawazito.
Tunajua kuwa akina Mama wajawazito wako katika hatari kubwa kwa sababu tunajua kabisa mwili na viungo vya akina mama vinakuwa vimebeba mzigo ambao una uzito kwa kiwango fulani kwa hiyo ni rahisi kupata ngiri.
2. Kundi la pili ni wazee.
Tunajua kuwa mtu mzima au umri ukienda kila kitu kinapungua nguvu kwa hiyo ni rahisi na viungo vya mwili kukosa nguvu na hatimaye kupata tatizo la ngiri.
3. Wanaovuta Sana sigara.
Kwa sababu sigara zina tabia ya kudhoofisha mapafu kwa hiyo kwa hiyo baada ya mishipa kukosa nguvu inaweza kulegea na hatimaye ngiri inaweza kutokea.
4. Wagonjwa wenye uvimbe tumboni.
Pia na wenye uvimbe wako kwenye hatari ya kupata tatizo hili la ngiri kwa hiyo kama mtu akigundua kuwa ana uvimbe anapaswa kwenda hospitalini mara moja ili kufanyiwa matibabu kabla ya tatizo la ngiri halijatokea.
5. Watoto waliozaliwa na uzito mdogo au wale waliozaliwa kabla ya wakati, tunajua wazi kwamba watoto wa namna hiyo kinga yao ni ndogo kwa hiyo ni rahisi sana kushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.
6.kwa hiyo haya makundi yanapaswa kulindwa sana ili kuweza kuepuka tatizo la ngiri na kuwapatia huduma muhimu ambazo zitaweza kuwasaidia kuepukana na hali hii ya tatizo la ngiri kwa watoto na akundi ambayo yako kwenye hatari ya kupata tatizo hili.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za VVU/ UKIMWI
Soma Zaidi...Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.
Soma Zaidi...Kuzama hufafanuliwa kama mchakato unaosababisha upungufu mkubwa wa kupumua kutokana na kuzamishwa kwenye chombo cha kuogelea (kioevu). Kuzama hurejelea tukio ambalo njia ya hewa ya mtoto huzamishwa kwenye kioevu, na kusababisha kuharibika kwa kupumua.
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kuharibika kwa mwili ni aina ya ugonjwa sugu wa Akili ambao huwezi kuacha kufikiria kuhusu kasoro katika mwonekano wako au ya kuwaziwa. Lakini kwako, mwonekano wako unaonekana kuwa wa aibu sana hivi kwamba hutaki kuonekana na mtu yeyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Kisukari cha Aina ya 1, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha changa au Kisukari kitegemeacho insulini, ni hali sugu ambapo kongosho hutoa insulini kidogo au haitoi kabisa, homoni inayohitajika kuruhusu sukari (glucose) iingie kwenye se
Soma Zaidi...