Makundi yaliyo katika hatari ya kupata Ugonjwa wa ngiri.
Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun
Makundi yenye hatari ya kupata ngiri.
1. Kundi la kwanza ni mama wajawazito.
Tunajua kuwa akina Mama wajawazito wako katika hatari kubwa kwa sababu tunajua kabisa mwili na viungo vya akina mama vinakuwa vimebeba mzigo ambao una uzito kwa kiwango fulani kwa hiyo ni rahisi kupata ngiri.
2. Kundi la pili ni wazee.
Tunajua kuwa mtu mzima au umri ukienda kila kitu kinapungua nguvu kwa hiyo ni rahisi na viungo vya mwili kukosa nguvu na hatimaye kupata tatizo la ngiri.
3. Wanaovuta Sana sigara.
Kwa sababu sigara zina tabia ya kudhoofisha mapafu kwa hiyo kwa hiyo baada ya mishipa kukosa nguvu inaweza kulegea na hatimaye ngiri inaweza kutokea.
4. Wagonjwa wenye uvimbe tumboni.
Pia na wenye uvimbe wako kwenye hatari ya kupata tatizo hili la ngiri kwa hiyo kama mtu akigundua kuwa ana uvimbe anapaswa kwenda hospitalini mara moja ili kufanyiwa matibabu kabla ya tatizo la ngiri halijatokea.
5. Watoto waliozaliwa na uzito mdogo au wale waliozaliwa kabla ya wakati, tunajua wazi kwamba watoto wa namna hiyo kinga yao ni ndogo kwa hiyo ni rahisi sana kushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.
6.kwa hiyo haya makundi yanapaswa kulindwa sana ili kuweza kuepuka tatizo la ngiri na kuwapatia huduma muhimu ambazo zitaweza kuwasaidia kuepukana na hali hii ya tatizo la ngiri kwa watoto na akundi ambayo yako kwenye hatari ya kupata tatizo hili.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitabu cha Afya π2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π4 kitabu cha Simulizi π5 Madrasa kiganjani π6 ai web app
Post zinazofanana:
Hedhi isiyo na mpangilio: Chanzo chake na nini cha kufanya?
βMzunguko wa hedhi ni kiashiria muhimu sana cha afya ya mwanamke. Hata hivyo, wanawake wengi hukumbana na changamoto ya hedhi isiyo na mpangilio (irregular periods) katika kipindi fulani cha maisha yao. Makala hii inachambua kwa kina vyanzo vikuu vya kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kuanzia mabadiliko ya mtindo wa maisha hadi matatizo ya kiafya kama PCOS, na kutoa mwongozo wa hatua za kuchukua ili kurejesha usawa wa mwili wako.
Soma Zaidi...Gout (Ugonjwa wa baridi ya yabisi): Dalili na vyakula vya kuepuka.
Gout ni aina ngumu ya ugonjwa wa baridi ya yabisi (arthritis) inayojulikana kwa kusababisha maumivu makali ya ghafla, uvimbe, na wekundu kwenye viungo, hasa kidole gumba cha mguu. Hali hii husababishwa na mrundikano wa asidi ya uric (uric acid) kwenye damu, ambayo huunda fuwele (crystals) ndogo zinazochoma viungo. Makala haya yanakupa mwongozo wa kina kuhusu namna ya kutambua dalili za gout na hatua za lishe za kuchukua ili kudhibiti maumivu na kuzuia mashambulizi ya mara kwa mara.
Soma Zaidi...Jinsi ya kutambua mimba kwa vipimo vya kawaida vya mkojo.
Kujitambua mimba mapema ni hatua muhimu katika kuanza safari ya uzazi salama. Makala haya yanaelezea misingi ya kisayansi ya vipimo vya mkojo vya nyumbani (Pregnancy Test Strips/Sticks), njia sahihi ya kuvitumia, muda mwafaka wa kupima, na jinsi ya kusoma matokeo ili kupata usahihi wa hali ya juu.
Soma Zaidi...Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe
Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.
Soma Zaidi...Matumizi ya kondom: Njia sahihi ya kujikinga.
βKondomu ni nyenzo yenye ufanisi mkubwa katika kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU), Kaswende, Klamidia, na magonjwa mengine ya zinaa, pamoja na uzazi wa mpango. Ufanisi wake hutegemea kwa kiasi kikubwa matumizi sahihi. Makala hii inatoa maelekezo ya kitaalamu juu ya hatua sahihi za kutumia kondomu, uhifadhi, na mambo ya kuzingatia ili kuhakikisha usalama wa juu.
Soma Zaidi...