Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani.
Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani. Malaria ni katika maradhi yanayopatikana katika maeneo yenye joto, hususani maeneo yenye uoto wa kitropiki. Miongoni mwa maeneo ambayo yanasumbuliwa zaidi na malaria ni bara la Afrika.
Inakadiriwa kuwa mila mwaka watu milioni 210 (210,000,000 wanapata malaria kila mwaka na kati ya hao watu laki nne na elfu arobaini (440,000) wanakufa kwa ugonjwa huu kila mwaka na wengi wao ni watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Mpaka sasa bado hakuna chanjo ya malaria ijapokuwa wataalamu wa afya wanajitahidi kuitafuta chanjo yake. Miili inaweza kutengeneza njianjo yao wenyewe japo ni ya muda na sio ya kuzuia malaria kabisa isipokuwa inaweza kupunguza athari za ugonjwa huu. Na hii ndio maana matu anaweza kuishi na malaria kwa muda mrefu bila ya kuumwa hasa.
Umeionaje Makala hii.. ?
mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Bawasili, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mgonjwa ambaye ana ugonjwa wa Bawasili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa,ni madhara ambayo utokea endapo Maambukizi kwenye mifupa yasipotibiwa kwa mda wake.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria.
Soma Zaidi...Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi
Soma Zaidi...Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Soma Zaidi...Maambukizi ya Norovirus yanaweza kusababisha kutapika sana naΓΒ Kuhara. Virusi huambukiza sana na kwa kawaida huenea kupitia chakula au maji ambayo yamechafuliwa na kinyesi wakati wa kutayarisha. Unaweza pia kuambukizwa kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu
Soma Zaidi...Muda gani ukimwi huweza kuonekana mwilini ama kugundulika kama umeathirika, ni dalili zipo hujitokeza punde tu utakapoathirika
Soma Zaidi...