image

Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa?

Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa.

  Je, mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka lini?

Hili swali linaloulizwa na wengi Sana lakini Kuna baadhi ya jamii huwa wanaami  desturi na Mila potofu Imani potofu Kama vile ;

1.mjamzito akifanya mapenzi mimba inaweza kutoka iyo sio kweli Bali hupanua Njia ya mama kumrahisishia kujifungua kwa haraka.

 

2.pia wanaamini kuwa mjamzito akifanya mapenzi Mtoto atapata maambukizi iyo sio kweli kwasababu Mtoto huwa yupo mwenye mfuko wake na hawezi kupata maambukizi.

 

3.wanaamini kuwa mjamzito akifanya mapenzi kuwa atapata mimba Mara mbili au hupelekea kupata mapacha iyo sio kweli kwasababu ukuta wa uteras unakuwa ushajifunga hivyo amna sparm inayoweza kuingia na kupelekea mimba nyingine .

 

4.wengine huamini kuwa Mtoto anaweza kuumia nayo sio kweli.

 

5.chupa huweza kupasuka nayo sio kweli.

 

6.wengine huamini kuwa mimba itatoka 

 

  1.   Tahandhari za kuchukua

Mama mjamzito anatakiwa kuwa makini Kuna Mambo ambayo  yakijitokeza hatakiwi kufanya tendo la ndoa na anatakiwa kuwahi kwenye kituo Cha afya ikiwa akiona dalili Kama hizi ;

 

1. Kutokwa na Damu ukeni wakati wa ujauzito.

 

2.kama kondo la nyuma la mama limejishikiza karibia ni kwenye mlango wa Uzazi

 

3.mimba Kuharibika au ikitishia kutoka.

 

4.mama ambaye ana historia ya mimba kutoka Mara kwa Mara.

 

5.kama mama ana kichefuchefu,kutapika,Hana hamu ya tendo la ndoa Mara nyingi hutokea mimba ikiwa na miezi mitatu nayo anatakiwa asishiriki tendo la ndoa ili asubirie homoni zikae sawa 

 

   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2166


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Kiwango cha juu cha Androgen
Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa. Soma Zaidi...

Je, mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?
Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi. Soma Zaidi...

Tatizo la kutokwa na utelezi wenye damu baada ya hedhi
Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali za kutokwa na damu baada ya hedhi hili ni tatizo ambalo uwapata wanawake wengi pamoja na akina Mama kwa sababu ya kutokwa na damu yenye utelezi baada ya hedhi. Soma Zaidi...

Sababu za mimba kutoka
Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mim Soma Zaidi...

DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho. Soma Zaidi...

Madhara ya kutotoa huduma kwa Mama anayevuja damu baada ya kujifungua
Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua. Soma Zaidi...

Huduma kwa mama mwenye mimba Inayotishia kutoka.
Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka. Soma Zaidi...

Maji ya Amniotic
Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

dalili za mimba changa ndani ya wiki moja
Soma Zaidi...

Jinsi ya kupata mtoto wa kiume
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume. Soma Zaidi...

Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue Soma Zaidi...

Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...