Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa.
Je, mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka lini?
Hili swali linaloulizwa na wengi Sana lakini Kuna baadhi ya jamii huwa wanaami desturi na Mila potofu Imani potofu Kama vile ;
1.mjamzito akifanya mapenzi mimba inaweza kutoka iyo sio kweli Bali hupanua Njia ya mama kumrahisishia kujifungua kwa haraka.
2.pia wanaamini kuwa mjamzito akifanya mapenzi Mtoto atapata maambukizi iyo sio kweli kwasababu Mtoto huwa yupo mwenye mfuko wake na hawezi kupata maambukizi.
3.wanaamini kuwa mjamzito akifanya mapenzi kuwa atapata mimba Mara mbili au hupelekea kupata mapacha iyo sio kweli kwasababu ukuta wa uteras unakuwa ushajifunga hivyo amna sparm inayoweza kuingia na kupelekea mimba nyingine .
4.wengine huamini kuwa Mtoto anaweza kuumia nayo sio kweli.
5.chupa huweza kupasuka nayo sio kweli.
6.wengine huamini kuwa mimba itatoka
Mama mjamzito anatakiwa kuwa makini Kuna Mambo ambayo yakijitokeza hatakiwi kufanya tendo la ndoa na anatakiwa kuwahi kwenye kituo Cha afya ikiwa akiona dalili Kama hizi ;
1. Kutokwa na Damu ukeni wakati wa ujauzito.
2.kama kondo la nyuma la mama limejishikiza karibia ni kwenye mlango wa Uzazi
3.mimba Kuharibika au ikitishia kutoka.
4.mama ambaye ana historia ya mimba kutoka Mara kwa Mara.
5.kama mama ana kichefuchefu,kutapika,Hana hamu ya tendo la ndoa Mara nyingi hutokea mimba ikiwa na miezi mitatu nayo anatakiwa asishiriki tendo la ndoa ili asubirie homoni zikae sawa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Mimba inaweza kutoka kutokana na maradhi, majeraha ama misukosuko mimgine. Kutoka kwa mimva haimaanishi ndio mwisho wa kizazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya
Soma Zaidi...posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.
Soma Zaidi...Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupima mimba kwa kutumia chumvi sukari na sabuni
Soma Zaidi...