picha

Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.

Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano.

1.Kwa kawaida tunajua wazi kubwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ushambuliwa sana na Magonjwa mbalimbali na tiba mbalimbali zimeshatolewa kwa watoto hao kwa kupitia sehemu mbalimbali.yafuatayo ni mambo ya kuangalia kwa mtoto ili kuweza kupunguza Magonjwa kwa watoto kwa hiyo tunapaswa kuangalia yafuatayo.

 

2. Tunapaswa kuangalia Dalili za hatari kwa mtoto kama mtoto anakula au ananyonya, kuangalia kwa mtoto anatapika kila kitu , pia kuangalia kama mtoto anaanguka kifafa na kufanya kumtibu mara moja.

 

3. Pia tunapaswa kuangalia Dalili za Magonjwa kama vile kukohoa, kupumua kwa shida, kuharisha,homa na Dalili nyingine za Maambukizi kwenye sikio.

 

4. Pia tunapaswa kuangalia Magonjwa mbalimbali kama vile Surua, kuishiwa na damu na kuwa na mlo ambao hauridhishi kwa mtoto.

 

5. Pia tunapaswa kuangalia kama mtoto amepata chanjo zote ambazo zinapaswa kupewa kwa mtoto kama vile chanjo ya Surua, kifua kikuu, kifadulo, Dondakoo, polio na chanjo zote anazopaswa kupewa mtoto.

 

6. Pia Maambukizi kwa mtoto yanapaswa kuangaliwa kama vile Maambukizi ya madonda mkononi, Maambukizi ya virus vya ukimwi na Magonjwa mbalimbali.

 

7.kwa hiyo tunaona wazi kuwa mtoto chini ya miaka mitano wanahitaji uangalizi zaidi kwa hiyo hata mtoto akipata homa ni lazima apelekwe hospitali kwa uangalizi zaidi

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1721

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 web hosting    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Mm tumbo linaniuma mara kwa mara na linakua kama linages alaf kichwa kinauma mara kwa mara na nakosa choo wakati mwingine na kiuno kinauma je?inawezakua n ujauzito? Maana nilshirki tendo la ndoa siku ya tano baada ya kutoka hedhi

Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.

Soma Zaidi...
Malezi ya mtoto mchanga na mama mjamzito

Post hii itakwenda kukuletea mambo kadhaa yanayohusiana na malezi bora ya mama mjamzito na mtoto mchanga

Soma Zaidi...
Yajue mazoezi ya kegel

Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.

Soma Zaidi...
Madhara ya mwili kushindwa kutengeneza projestron ya kutosha

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.

Soma Zaidi...
Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)

Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake

Soma Zaidi...
Sababu za kutoona hedhi kwa wakati

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.

Soma Zaidi...
Kupima ujauzito kwa kutumia chumvi, sukari na sabuni

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupima mimba kwa kutumia chumvi sukari na sabuni

Soma Zaidi...
Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.

Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.

Soma Zaidi...