Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza

Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini

Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza.au mtililiko unapaswa kufuata unapokuwa unatoa huduma ya kwanza.

1.kuangalia upumuaji wa mgonjwa.

_ kabla ya vyote unapaswa kuangalia kama mgonjwa anapumua vizuri, maana hewa ni muhumu kuliko vyote.

2. Kuangalia kama damu inasafiri vizuri kwenye mwili.

_ baada ya kuzibua njia za hewa unaangalia upumuaji wa mgonjwa kwa kuangalia mapigo ya moyo yanaendaje na kubinya mishipa inayosafilisha damu na kuangalia kama Kuna sehemu unatoa damu.

3. Kuangalia kama Kuna ulemavu wowote ule

_angalia kama mgonjwa anaweza kuamka

_ kama mgonjwa anaweza kuona ishara yoyote

_ kama mgonjwa anasikia maumivu ikiwa akifinywa

_kama mgonjwa haitikii chochote ulichofanya hapo kwenye sentensi za juu mkimbize hospitalin haraka

4. Mvue mgonjwa nguo zote uangalie kama Kuna sehemu amechubuka au kapoteza kiungo chochote, Ila fanya hivyo kwa uangalifu usipoteze joto la mwili na kumtunza uchi wake.

 

Tunapotoa huduma ya kwanza ni muhimu kuanzia vitu vya maana kama kuzibua hewa, upumuaji, mzunguko wa damu, ulemavu uliojitokeza na kuangalia kama Kuna alama zozote mwilini , baada ya kufanya hivyo tusisahau kumpeleka mgonjwa hospitalin kwa matibabu zaidi.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/11/17/Wednesday - 12:46:44 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2597

Post zifazofanana:-

Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 6 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 6)
Katika somo hili la 6 mafunzo ya HTML level 2, tutajfunza namna ya kugawa ukurasa wa wavuti wa html. Soma Zaidi...

Sasa UKIMWI unatokeaje?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea Soma Zaidi...

Vyakula kwa wenye matatizo ya macho
Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa. Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML level 1 somo la 4 (HTML basic level FOR BEGINNERS)
Hili ni somo la nne katika mafunzo ya html basic level. Hapa tutakwenda kuona jinsi ya kuzifanyia kazi tag ambazo umejifunza katika somo lililotangulia. Soma Zaidi...

Vyakula vyenye madini kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi Soma Zaidi...

UUME KUWASHA
Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k Soma Zaidi...

Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini
vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu Soma Zaidi...

Dalili za Homa ya uti wa mgongo (meningitis)
Posti hii inahusu zaidi dalili za Homa ya uti wa mgongo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye maambukizi kwenye uti wa mgongo. Soma Zaidi...

Kazi ya Dawa ya salbutamol
Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma. Soma Zaidi...

Ijuwe saratani ya kibofu cha nyongo
Makala hii inakwenda kukufahamishavkuhusu saratani yavkibifu cha mkojo. Soma Zaidi...

Matibabu ya Fangasi ukeni na dawa za fangasi wanaoshambulia uke.
Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni Soma Zaidi...

Kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao Soma Zaidi...