Mambo yanayodhaniwa kuwa yanaharibu funga lakini hayaharibu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Mambo yanayodhaniwa yanaharibu funga lakini hayaharibu.
- Kula au kunywa bila kukusudia – kwa kusahau au kutwezwa nguvu.
- Kuoga wakati umefunga.
- Kutokwa na manii bila kukusudia – kwa kuota ndoto au namna nyingine.
- Kuamka na Janaba, Damu ya Hedhi au Nifasi ukiwa umefunga.
- Kubusiana na kukumbatiana mume na mke wakiwa wamefunga.
- Kupiga mswaki, kusukutua au kupandisha maji puani.
- Kupaka wanja, manukato, mafuta, kuvukiza ubani au dawa ya macho.
- Kumeza usichoweza kujizuia nacho kama mate, kikohozi, kuingiwa na mdudu (kitu) ghafla hadi kooni, vumbi, n.k.
- Kupiga sindano isiyoongeza chakula mwilini kama itahitajika.
- Kuumika au kutoa damu kwa mujibu wa Hadith;
“Amehadithia Ibn Abbas (r.a) kwamba Mtume (s.a.w) aliumikwa akiwa katika ‘Ihram’ na pia akiwa amefunga.”
(Ameipokea Bukhari)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐2 kitabu cha Simulizi ๐3 Simulizi za Hadithi Audio ๐4 Bongolite - Game zone - Play free game ๐5 Kitau cha Fiqh ๐6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
๐1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐2 kitabu cha Simulizi ๐3 Simulizi za Hadithi Audio ๐4 Bongolite - Game zone - Play free game ๐5 Kitau cha Fiqh ๐6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Njia za kudhibiti riba
Ufumbuzi wa tatizo la ribaRiba imeenea na kuzoeleka duniani kwa kiasi ambacho watu wengi wanadhani kuwa bila riba hakuna shughuli yoyote ya uchumi inayowezekana.
Soma Zaidi...Swala ya witiri na faida zake, na jinsi ya kuiswali
Hapa utajifunza jinsi ya kuswali swala ya witiri na faida zake kwa mwenye kuiswali.
Soma Zaidi...Hatua za kinga za ugumba na Utasa.
Ugumba ni รขโฌลugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasaรย kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.
Soma Zaidi...