Mambo yanayodhaniwa kuwa yanaharibu funga lakini hayaharibu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Mambo yanayodhaniwa yanaharibu funga lakini hayaharibu.
- Kula au kunywa bila kukusudia – kwa kusahau au kutwezwa nguvu.
- Kuoga wakati umefunga.
- Kutokwa na manii bila kukusudia – kwa kuota ndoto au namna nyingine.
- Kuamka na Janaba, Damu ya Hedhi au Nifasi ukiwa umefunga.
- Kubusiana na kukumbatiana mume na mke wakiwa wamefunga.
- Kupiga mswaki, kusukutua au kupandisha maji puani.
- Kupaka wanja, manukato, mafuta, kuvukiza ubani au dawa ya macho.
- Kumeza usichoweza kujizuia nacho kama mate, kikohozi, kuingiwa na mdudu (kitu) ghafla hadi kooni, vumbi, n.k.
- Kupiga sindano isiyoongeza chakula mwilini kama itahitajika.
- Kuumika au kutoa damu kwa mujibu wa Hadith;
“Amehadithia Ibn Abbas (r.a) kwamba Mtume (s.a.w) aliumikwa akiwa katika ‘Ihram’ na pia akiwa amefunga.”
(Ameipokea Bukhari)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 ai web app 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 web hosting
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 ai web app 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Ni nini maana ya Talaka katika uislamu
Post hii inakwenda kukufundisha maana ya neno talaka katika uislamu kisheria na kilugha.
Soma Zaidi...Maana ya zakat
Nguzo za uislamu,kutoa zakat na sadaqat (EDK form 2; dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Dhana ya mirathi na kurithi katika zama za ujahiliya
Mirathi katika jamii za kijahiliKatika jamii nyingi za kijahili kama vile jamii ya Waarabu kabla ya Mtume Muhammad (s.
Soma Zaidi...Taratibu za eda ya kufiwa katika uislamu
Hapa utajifunza taratibu za kukaa eda kwa mwanamke ambaye amefiwa na mume.
Soma Zaidi...