Post hii inakwenda kukufundisha mambo ambayo hubatilisha udhu yaani mam,boa mbayo yanaharibu udhu.
Kabla ya kuona mabo ambayo yanaharibu udhu vyema kwanza tujuwe mambo ambayo yanalazimu kuwa mtu awe na udhu. Mambo jhayo ni kama swala. hata hivyo yapo ambayo yanapendeza uwe na udhu kama kusoma Quran.
Mambo yanayoharibu udhu:
1. Kutokwa na ndogo (mkojo)
2. kutokwa na haja kubwa
3. kutokwa na upepo (kujamba)
4. Kulala tofauti na mlalo wa kuambatanisha makalio ardhini
5. kuzimia
6. kutokwa na madii
7. kutokwa na madhii
8. Kutokwa na hedhi
9. Kutokwa na damu ya ugonjwa
10. Kulewa ama ulevi
11. Kutokwa na akili
Pia mambo yafuatayo kuna kutokukubaliana kwa maulamaa kuhusu kutokwa na udhu. Wengine wanakubali lakini wengine wanakataa. Mambo hayo ni kama:-
1. Kumgusa mwanamke ambaye ni halali kumuoa ama mkeo
2. Kumbusu
3. Kugusa sehemu za siri
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya maiti, nguzo za swala ya maiti, sharti za swwla ya maiti na jinsi ya kuiswali.
Soma Zaidi...Endapo mtu yupp katika orodha ya wanaotakiwa kutithi, anaweza kuzuiliwa kurithi kwa kuzingatia haya.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kuona jinsi ya kuzitathmini swala zetu.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza utaratibu wa hutuba ya ndoa ya kiislamu. Sharti za jutuba ya ndoa na jinsibya kuozesha
Soma Zaidi...