Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.
Je na wewe Ni miongoni mwa watu wanaosumbuliwa na maumivu ya kiuno au mgongo?
Yafuatayo Ni mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu.
1.kufanya kazi ya kukaa muda mrefu, Kama vile kusafiri safiri, kufanya kazi za komputa, kunyonyesha na kazi nyingine nyingi huweza kufanya mtu kupata maumivu makali ya mgongo na haya kwenye kiuno.
2.kuinama Sana ; hii pia hupelekea misuli ya mgongo kuchoka kutokana na kuinama Sana labda kudeki, kufyeka, na kazi nyingine ambazo utazifanya Mara kwa Mara na kwa muda mrefu huweza hupelekea maumivu.
3. Kubeba vitu vizito; Kama magunia ya mahindi, Michele, sukari n.k au kubeba vitu vizito bado wewe mdogo kinakuzidi nguvu huanzia mauvimi kwenye mshipa wa shingo mpaka mgongo na kwenye kiuno pia kwahiyo hushauri kubeba au kupambaa na vitu vizito ambavyo vinaweza kukusababishi madhara.
4.kulala kwenye godoro ambalo Lina mabonde au godoro ambalo ukilala unaumia pia hii huchangia endapo utalala Mara kwa Mara au kila siku hivyo basi epuka ujutahidi kulala sehemu nzuri ili kulinda afya ya mwili wako.
5.kuwa na uzito mkubwa uliopitiliza ;nayo Ni moja wapo ya sababu inayopelekea maumivu ya mgongo na kiuno kwani viungo vya mwili huwa legevu.
Mwisho ; endapo utapata maumivu ya kiuno na mgongo kwa mdamrefu bila kupona Ni vyema kumwona dactari mapema ili kuweza kupata matibabu na kuilinda afya yako pia.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ugonjwa wa UTI
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumengβenya chakula.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo mgonjwa wa ngiri anaweza kuzipata, kwa hiyo baada ya kusoma na kuelewa dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali mapema kwa ajili ya kupata matibabu.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la Kurithi ambapo Damu inatoka kwa muda mrefu wakati au baada ya jeraha bila kuganda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglyc
Soma Zaidi...Maumivu ya kifua huja kwa aina nyingi, kuanzia kuchomwa na kisu hadi kuuma kidogo. Baadhi ya Maumivu ya kifua yanafafanuliwa kama kuponda kuungua. Katika baadhi ya matukio, maumivu husafiri juu ya shingo, hadi kwenye taya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia Ugonjwa wa kaswende, tunajua wazi kuwa Ugonjwa huu unasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kufanya ngono zembe na njia nyingine kwa hiyo tunaweza kuzuia kusambaa na kuenea kwa ugonjwa huu kwa n
Soma Zaidi...