picha

Mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.

   Je na wewe Ni miongoni mwa watu wanaosumbuliwa na maumivu ya kiuno au mgongo? 

Yafuatayo Ni mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu.

1.kufanya kazi ya kukaa muda mrefu, Kama vile kusafiri safiri, kufanya kazi za komputa, kunyonyesha na kazi nyingine nyingi huweza kufanya mtu kupata maumivu makali ya mgongo na haya kwenye kiuno.

 

2.kuinama Sana ; hii pia hupelekea misuli ya mgongo kuchoka kutokana na kuinama Sana labda kudeki, kufyeka, na kazi nyingine ambazo utazifanya Mara kwa Mara na kwa muda mrefu huweza hupelekea maumivu.

 

3. Kubeba vitu vizito; Kama magunia ya mahindi, Michele, sukari n.k au kubeba vitu vizito bado wewe mdogo kinakuzidi nguvu huanzia mauvimi kwenye mshipa wa shingo mpaka mgongo na kwenye kiuno pia kwahiyo hushauri kubeba au kupambaa na vitu vizito ambavyo vinaweza kukusababishi madhara.

 

4.kulala kwenye godoro ambalo Lina mabonde au godoro ambalo ukilala unaumia pia hii huchangia endapo utalala Mara kwa Mara au kila siku hivyo basi epuka ujutahidi kulala sehemu nzuri ili kulinda afya ya mwili wako.

 

5.kuwa na uzito mkubwa uliopitiliza ;nayo Ni moja wapo ya sababu inayopelekea maumivu ya mgongo na kiuno kwani viungo vya mwili huwa legevu.

 

Mwisho ; endapo utapata maumivu ya kiuno na mgongo kwa mdamrefu bila kupona Ni vyema kumwona dactari mapema ili kuweza kupata matibabu na kuilinda afya yako pia.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3061

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 ai web app     👉5 web hosting     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Dalili za ugonjwa wa ngiri

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo mgonjwa wa ngiri anaweza kuzipata, kwa hiyo baada ya kusoma na kuelewa dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali mapema kwa ajili ya kupata matibabu.

Soma Zaidi...
Dalili za Ukimwi

Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ambao kwa kitaalamu huitwa Dementia ugonjwa huu uwapata wale ambao umri umekwenda lakini kwa wakati mwingine Usababishwa na vitu mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
ujuwe ugonjwa wa gout na athari zake mwilini

Post hii itakwenda kuzungumzia ugonjwa wa gout unaosababishwa na ongezeko la asidi mwilini.

Soma Zaidi...
Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine

Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Soma Zaidi...
Sababu ya maumivu ya magoti.

Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye mago

Soma Zaidi...