Mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.

   Je na wewe Ni miongoni mwa watu wanaosumbuliwa na maumivu ya kiuno au mgongo? 

Yafuatayo Ni mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu.

1.kufanya kazi ya kukaa muda mrefu, Kama vile kusafiri safiri, kufanya kazi za komputa, kunyonyesha na kazi nyingine nyingi huweza kufanya mtu kupata maumivu makali ya mgongo na haya kwenye kiuno.

 

2.kuinama Sana ; hii pia hupelekea misuli ya mgongo kuchoka kutokana na kuinama Sana labda kudeki, kufyeka, na kazi nyingine ambazo utazifanya Mara kwa Mara na kwa muda mrefu huweza hupelekea maumivu.

 

3. Kubeba vitu vizito; Kama magunia ya mahindi, Michele, sukari n.k au kubeba vitu vizito bado wewe mdogo kinakuzidi nguvu huanzia mauvimi kwenye mshipa wa shingo mpaka mgongo na kwenye kiuno pia kwahiyo hushauri kubeba au kupambaa na vitu vizito ambavyo vinaweza kukusababishi madhara.

 

4.kulala kwenye godoro ambalo Lina mabonde au godoro ambalo ukilala unaumia pia hii huchangia endapo utalala Mara kwa Mara au kila siku hivyo basi epuka ujutahidi kulala sehemu nzuri ili kulinda afya ya mwili wako.

 

5.kuwa na uzito mkubwa uliopitiliza ;nayo Ni moja wapo ya sababu inayopelekea maumivu ya mgongo na kiuno kwani viungo vya mwili huwa legevu.

 

Mwisho ; endapo utapata maumivu ya kiuno na mgongo kwa mdamrefu bila kupona Ni vyema kumwona dactari mapema ili kuweza kupata matibabu na kuilinda afya yako pia.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1959

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Uvimbe wa mishipa midogo ya Damu kwenye ngozi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha,

Soma Zaidi...
Matibabu ya maumivu chini ya kitovu

Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa moyo.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mambo hatari yanayosababisha ugonjwa wa moyo.

Soma Zaidi...
Tatizo la Kikohozi Cha muda mrefu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kikohozi cha muda mrefu ni zaidi ya kero. Kikohozi cha muda mrefu kinaweza kuharibu usingizi wako na kukuacha unahisi uchovu. Matukio makali ya kikohozi cha muda mrefu yanaweza kusababisha kutapika, kizunguz

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye Tumbo na utumbo mdogo.

Posti hii inahusu Maambukizi kwenye tumbo na kwenye utumbo mdogo,ni Maambukizi ambayo uwa kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Soma Zaidi...
Fangasi watambulikao kama invasive candidiasis

Hawa huweza kuingia kwenye mfumo wa damu na kuenda maeneo mengine nyeti sana ya mwili.

Soma Zaidi...
KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI

KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.

Soma Zaidi...
Aina za minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya aina za minyoo

Soma Zaidi...
Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo

Posti hii inahusu zaidi dalili la jeraha la kawaida kwenye ubongo, jeraha la kawaida utokea kwa sababu mbalimbali kama vile kupata ajali na kugongwa na kitu chochote kichwani,

Soma Zaidi...
Fahamu matatizo ya ini kuwa na kovu

kovu (Fibrosis) ya ini inayosababishwa na aina nyingi za magonjwa na hali ya ini, kama vile Homa ya Ini na unywaji pombe kupita kiasi. Ini hufanya kazi kadhaa muhimu, ikiwa ni pamoja na kuondoa vitu vyenye madhara katika mwili wako, kusafisha damu yako

Soma Zaidi...