picha

Mambo yanayosababisha kuharisha

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu

Mambo yanayosababisha kuharisha

1. Virusi ambavyo umuingia mtu kwa njia tofauti

2. Bakteria ambao uungia ndana ya mwili wa mtu

3.parasite wanaoingia kwenye utumbo

4.utumbo mdogo kushindwa kusambaza chakula kwenye mwili

5. Kubadilika kwa homoni mwilini mfano,sukari

6. Ugonjwa wa Kansa, hasa wale wenye Kansa ya tumbo

7. Maambukizi kwenye tumbo.

Baada ya kujua mambo yanayosababisha kuharisha inabidi kuchukua hatua kama ifuayavyo

- kuosha mikono baada ya kutoka chooni

- kuosha mikono kabla ya kuandaa chakula

- kufanya vipimo mara kwa mara Ili kujua maendeleo ya afya yako

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2127

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰2 ai web app     πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰4 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Dalili ya pressure ya kupanda

Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya

Soma Zaidi...
Je, UKIMWI Unaweza Kukaa Bila Dalili?

Jibu fupi ni ndiyo. VVU (Virusi vya Upungufu wa Kingamwili) vinaweza kuwepo mwilini kwa miaka mingi bila kuonyesha dalili zozote dhahiri za ugonjwa. Hali hii ya kutokuwa na dalili ndiyo inayochangia kwa kiasi kikubwa kusambaa kwa virusi hivi, kwani mtu anaweza kuwa anaambukiza wengine bila yeye mwenyewe au wengine kujua.

Soma Zaidi...
Sababu za Mtoto Kuharisha Mara kwa Mara

​Uharishaji kwa watoto ni changamoto ya kawaida inayoweza kusababishwa na maambukizi, lishe, au mabadiliko ya kifizikia. Makala haya yatafafanua sababu kuu za tatizo hili, jinsi ya kukabiliana nalo nyumbani, na wakati mwafaka wa kumpeleka mtoto hospitalini.

Soma Zaidi...
Kazi ya Ini: Jinsi ya kulilinda dhidi ya sumu.

Ini ni kiungo kikubwa zaidi cha ndani mwilini na kinafanya kazi kama "kiwanda cha kusafisha sumu" cha mwili wako. Kazi yake ni muhimu sana kwa uhai, kuanzia kuchuja damu hadi kuyeyusha chakula. Hata hivyo, kutokana na mtindo wa maisha wa kisasa, ini linaweza kulemewa na sumu, jambo linalopelekea maradhi kama ini la mafuta (fatty liver) au uvimbe wa ini (hepatitis). Makala haya yanachambua kazi kuu za ini na mbinu madhubuti za kulilinda dhidi ya uharibifu.

Soma Zaidi...
Dalili kuu za Malaria mwilini

Malaria husababishwa na vijidudu vidogo parasite wanaojulikana kama plasmodium. Vijidudu hivi hubebwa na mbu aina ya anophelesi. Kuna ina nyingi za plasmodium lakini aina 5 tu ndizo husababisha malaria

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...