picha

Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

 Dalili

Moja kwa moja Kuna Dalili zinazoonesha kuwa unatatizo la upungufu wa nguvu za kiume na Dalili hizo huweza kuonekana wakati unapofanya tendo la ndoa au muda wa kujamiina.

 

1.kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya kumaliza kujamiina. Hii Ni Dalili ambayo unaweza kuona na kuifahamj mapema wakati utakapoona umefanya tendo la ndoa na kuhisi maumivu.

2.kuwahi kumaliza tendo kwasababu nguvu za kiume zinakuwa zimelegea hivyo hushindwa kistahimili kukaa mda mrefu na kuwahi kutoka.

3.kushindwa kurudia tendo Mara ya pili; ukimaliza kutoa tendo nguvu zinaisha na kulegea kabisa hivyo kushindwa kurudia tendo Hilo na pia uume unasinyaa.

4.uume kusimama kwa ulegevu au kushindwa kusimama . Kutokana na nguvu kupungua kwasababu nguvu za kiume zikiwa kidogo unashindwa ata kusimamisha uume .

 

5.kuchoka Sana baada ya manii na hata kukinai tendo kutokana na nguvu za kiume kutokuwepo za kutosha. Na nguvu za kiume zikiwa pungufu lazima utakinai tendo .

 

6.mwili kuuma na kukosa pumzi wakati wa kufanya tendo.kwa sababu nguvu za kiume zipo chache au hazipo kabisa.

 

7.uume kusinyaa Ndani ya uke. Mara baada ya kishiriki tendo la ndoa na kupata maumivu au kukinai tendo uume unaweza kusimama Ndani ya uuke kwasababu ya kuchoka .

 

8.kutoa manii kabla ya kuanza tendo la ndoa. Pia nguvu za kiume zikipungua mwanaume huanza kutoa manii Aya kabla hajaanza kishiriki au kufanya tendo.

 

  Mambo ya hatari

  Yafuatayo Ni Mambo ya hatari yanayosababisha nguvu za kiume kupungua Ni pamoja na;

1.ugonjwa wa kisukari; Ugonjwa huu Ni hatari endapo usipozi gatia matibabu lakin pia Ugonjwa huu unaweza kumfanya mwanaume kupungua kwa nguvu zake za kiume.

2.Uzito mkubwa kupita kiasi; watu hupuuzia uzito lakini uzito Ni Ugonjwa ambao unaweza kukusababishia hatari nyingi za mwili na pia hupunguza nguvu za kiume.

3.Tabia ya kuangalia filamu au video za ngono (sex) hii pia Ni hatari kubwa ambayo humpelekea mwanaume kupoyeza au kupunguza nguvu za kiume.

4.tatizo la presha pia Ugonjwa huu husababishwa nguvu za kiume kupungua.

5.kujicchua wakati ukiwa kijana na hata ukubwani; kitendo Hilo Cha kujichua Ni kibaya Sana na hupelekea madhara ya maumivu ya mgongo pamoja na kiuno na pia kusababisha nguvu za kiume kupungua.

6.kujisaidi Damu na maumivu makali wakati wa kwenda haha kubwa (bawasili) Ugonjwa huu wa kujisaidia Damu nao Ni chanzo Cha kupunguza nguvu za kiume.

 

Mwisho;  ukiona Dalili Kama hizo zinajitokeza kwako Ni vuema kujua zaidi afya yako na pia Ni vizuri kuepuka kuangalia filamu au video za ngono, kuacha kujichua hasa kwa vijana wanakuwa, na mambo mengine mengi ambayo unajua kwamba yanaweza kukusababishia wewe kupungua kwa nguvu za kiume.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/03/10/Thursday - 08:10:41 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2583

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Faida na hasara za kutumia uzazi wa mpango

Tunaposema uzazi wa mpango, tunamaanisha ile hali ya kuachanisha muda kutoka mtoto hadi mwingine. Inatakiwa angalau mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Uzazi wa mpango ni maamuzi kati ya mama na baba.

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Madhara ya fangasi ukeni

Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutoka kwa mimba

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo.

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto.

Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto, ni Maambukizi ambayo yanaweza kutokea kwenye kitovu cha mtoto pale ambapo mtoto amezaliwa inawezekana ni kwa sababu ya hali ya mtoto au huduma kuanzia kwa wakunga na wale wanaotumia mtoto.

Soma Zaidi...
mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt

Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.

Soma Zaidi...
Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)

Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake

Soma Zaidi...