Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

 Dalili

Moja kwa moja Kuna Dalili zinazoonesha kuwa unatatizo la upungufu wa nguvu za kiume na Dalili hizo huweza kuonekana wakati unapofanya tendo la ndoa au muda wa kujamiina.

 

1.kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya kumaliza kujamiina. Hii Ni Dalili ambayo unaweza kuona na kuifahamj mapema wakati utakapoona umefanya tendo la ndoa na kuhisi maumivu.

2.kuwahi kumaliza tendo kwasababu nguvu za kiume zinakuwa zimelegea hivyo hushindwa kistahimili kukaa mda mrefu na kuwahi kutoka.

3.kushindwa kurudia tendo Mara ya pili; ukimaliza kutoa tendo nguvu zinaisha na kulegea kabisa hivyo kushindwa kurudia tendo Hilo na pia uume unasinyaa.

4.uume kusimama kwa ulegevu au kushindwa kusimama . Kutokana na nguvu kupungua kwasababu nguvu za kiume zikiwa kidogo unashindwa ata kusimamisha uume .

 

5.kuchoka Sana baada ya manii na hata kukinai tendo kutokana na nguvu za kiume kutokuwepo za kutosha. Na nguvu za kiume zikiwa pungufu lazima utakinai tendo .

 

6.mwili kuuma na kukosa pumzi wakati wa kufanya tendo.kwa sababu nguvu za kiume zipo chache au hazipo kabisa.

 

7.uume kusinyaa Ndani ya uke. Mara baada ya kishiriki tendo la ndoa na kupata maumivu au kukinai tendo uume unaweza kusimama Ndani ya uuke kwasababu ya kuchoka .

 

8.kutoa manii kabla ya kuanza tendo la ndoa. Pia nguvu za kiume zikipungua mwanaume huanza kutoa manii Aya kabla hajaanza kishiriki au kufanya tendo.

 

  Mambo ya hatari

  Yafuatayo Ni Mambo ya hatari yanayosababisha nguvu za kiume kupungua Ni pamoja na;

1.ugonjwa wa kisukari; Ugonjwa huu Ni hatari endapo usipozi gatia matibabu lakin pia Ugonjwa huu unaweza kumfanya mwanaume kupungua kwa nguvu zake za kiume.

2.Uzito mkubwa kupita kiasi; watu hupuuzia uzito lakini uzito Ni Ugonjwa ambao unaweza kukusababishia hatari nyingi za mwili na pia hupunguza nguvu za kiume.

3.Tabia ya kuangalia filamu au video za ngono (sex) hii pia Ni hatari kubwa ambayo humpelekea mwanaume kupoyeza au kupunguza nguvu za kiume.

4.tatizo la presha pia Ugonjwa huu husababishwa nguvu za kiume kupungua.

5.kujicchua wakati ukiwa kijana na hata ukubwani; kitendo Hilo Cha kujichua Ni kibaya Sana na hupelekea madhara ya maumivu ya mgongo pamoja na kiuno na pia kusababisha nguvu za kiume kupungua.

6.kujisaidi Damu na maumivu makali wakati wa kwenda haha kubwa (bawasili) Ugonjwa huu wa kujisaidia Damu nao Ni chanzo Cha kupunguza nguvu za kiume.

 

Mwisho;  ukiona Dalili Kama hizo zinajitokeza kwako Ni vuema kujua zaidi afya yako na pia Ni vizuri kuepuka kuangalia filamu au video za ngono, kuacha kujichua hasa kwa vijana wanakuwa, na mambo mengine mengi ambayo unajua kwamba yanaweza kukusababishia wewe kupungua kwa nguvu za kiume.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2059

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Dalili za kasoro ya moyo ya kuzaliwa kwa watu wazima

Ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa nao (kasoro ya moyo ya kuzaliwa) ni hali isiyo ya kawaida katika muundo wa moyo wako unaozaliwa nao. utu uzima. Ingawa maendeleo ya kimatibabu yameboreshwa, watu wazima wengi walio na ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa wanaweza wasip

Soma Zaidi...
Ujue Ute kwenye uke

Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.

Soma Zaidi...
Dalili za uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.

Soma Zaidi...
Maumivu ya Uke na Uume baada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa

Utajifunza sababu za maumivu ya uume na uke wakati wa tendo la ndoa na baada ya tendo la ndoa na matibabu yake.

Soma Zaidi...
Tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID

Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa.

Soma Zaidi...
Dalili za kujifungua

Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Uume ukiwa unaingia na ukiwa ndani nahic maumivu Kama uke unawaka Moto tafadhali nishauri

Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba inayotishi kutoka

Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe.

Soma Zaidi...