Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili
Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?
Hapa niakuorodheshea tu baadhi ya mambo ambayo huchangia kudhoofisha kinga ya mwili wako: -
1. Maradhi kwa mfano saratani, VVU na UKIMWI kisukari na hemophilia. Maradhi hayabhuchangia sana kudhoofisha kinga ya mwili
2. Matumizi ya baadhi ya dawa. Kwa mfano endapo utatumia dawa kiholela bila ya kufuata maelekezo kutoka kwa wataalamu. Ama kuna aina flani za dawa zinapotumika hudhoofisha kinga ya mwili.
Kwa nfano immune suppressor dawa hizi hupewa watu ambao wamebadilishiwa viungo vyao na kupewa vya watu wengine.
3. Umri, kinga yabmeili pia huenda na na umri. Kwa mfano mtoto anapozaliwa anakuwa na kinga dhaifu ya mwili. Pia wazee sana kinga zao za mwili huwa dhaifu kulinganisha na vijana.
5. Lishe na vyakula. Vyakula vina nafasi kubwa katika kulinda afya ya mtu. Hata katika hali ya kawaida utaona mtu asiyekula vizuri yupo hatarini. Tunaposema kula vizuri haimaanishi kushiba inamaanisha kula chakula chenye virutubisho.
Kila aina ya chakula ina virutubisho vyake na kila virutubisho vina kazi yake. Endapo utakosea virutubisho fulani inaweza ku athiri kinga ya mtu. Kwa mfano vyakula vya vitamini hulinda mwili dhidi ya maradhi. Hivyo ukivikosa inaweza athiri afya.
6. Misongo ya mawazo (stress and depression). Ni kweli kabisa msongo wa mawazo unadhoofisha kinga yabmeili wako. Ni rahisi kupata mashambulizi ya maradhi ukiwa katika hali ya misingi ya mawazo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 web hosting 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo
Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii .
Soma Zaidi...Namna ya kutunza nywele za mgonjwa
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi.
Soma Zaidi...Jinsi moyo unavyosukuma damu
Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Soma Zaidi...Dalili za unyanyasaji wa kimwili
Unyanyasaji wa kimwili. Unyanyasaji wa watoto kimwili hutokea wakati mtoto amejeruhiwa kimwili kimakusudi. Unyanyasaji wa kijinsia. Unyanyasaji wa watoto kingono ni shughuli yoyote ya kingono na mtoto, kama vile kumpapasa, kushikana mdomo na sehemu
Soma Zaidi...Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo
Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...