MASWALI JUU YA DINI ANAYOSTAHIKI KUFUATA MWANADAMU


image


Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)


Zoezi la 1.

  1. (a)  Nini maana ya Dini.

(b) Dini sahihi ni lazima imfikishe mwanaadamu katika kufikia lengo la kuumbwa kwake. Ainisha sifa za dini sahihi inayostahiki kufuatwa na mwanaadamu.

  1. Mwanaadamu pamoja na ujuzi alionao, hawezi kujiundia mfumo (dini) sahihi wa maisha. Thibitisha kauli hii kwa hoja tano tu.

 

  1. (a)  Bainisha nyezo kuu anazozitumia mwanaadamu katika kujielimisha na madhifu yake.

(b)  Nini maana ya kusimamisha Uislamu katika jamii?

  1. Mwanaadamu pamoja na kudai kutofuata dini yeyote, bado hawezi kuepukana nayo. Eleza ni kwanini dini kwa mwanaadamu ni jambo lisilobudi.

 

  1. Jihad ni jambo la muhimu katika kuupatia Uislamu heshima yake ndani ya jamii. Thibitisha umuhimu wa jihad katika kuusimamisha Uislamu.

 

  1. Ainisha matunda yatakayopatikana kwa Uislamu kusimama na kuongoza maisha ya jamii.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    4 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    5 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    6 Hadiythi za alif lela u lela    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Tofauti kati ya fiqh na sheria
Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria. Soma Zaidi...

image Taasisi za kisiasa za msingi alizotumia mtume (s.a.w) katika kuanzisha dola ya kiislamu madinah
Dola ya kiislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kwanini funga imefaradhishwa mwezi wa ramadhani
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Sanda ya mwanaume na namna ya kumkafini
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kusimamisha swala za faradh katika nyakati za dharura.
Kipengele hichi tutajifunza namna ya kusimamisha swala ukiwa safarini na vitani na nguzo zake. Soma Zaidi...

image Kumuamini mwenyezi Mungu (S.W)
Nguzo za imani (EDK form 2: elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kuandaliwa kwa Muhammad wakati na baada ya kupewa utume
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kwanini Ni muhimu kusimamisha uislamu katika jamii
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Haki za raia katika dola ya kiislamu
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Haki za nafsi
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...