MASWALI JUU YA HADITHI


image


Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)


Zoezi la 6.

  1. (a)  Nini maana ya Hadith kilugha na kisheria.

(b)  Eleza kwa muhtasari maana ya maneno yafuatayo:

    (i)  Matin (ii)  Isnad   (iii)  Riwaya   (iv)  Hadith Qudussiyu. (v)  Hadith Ahad.

  1. (a)  Wakati wa Mtume (s.a.w), hapakuwepo na uandishi wa Hadith. Toa sababu tano.

(b)  Ni sababu zipi zilizopelekea uandishi wa Hadith kuwa na hitajio kubwa katika kipindi cha Maswahaba?

  1. (a)  Taja vitabu viwili vilivyoandikwa pamoja na waandishi wake katika kipindi cha Maswahaba.

(b) (i) Orodhesha maimamu wanne mashuhuri waliojitokeza kwa uandishi wa    Hadith katika kipindi cha Tabi’ina.

    (ii)  Taja majina ya Vitabu viwili na maimam walivyoviandika katika kipindi cha Tabi’ina.

  1. Bainisha kwa muhtasari maimam sita waliojitokeza katika kipindi cha Tabi’i Tabi’ina.
  2. Eleza kwa ufupi yafuatayo;

(a)  Al-Qatadaya    (b)  Al-Muwattah  (c)  Hadith Nnabawwi  (d)  Hadith Mutawattir.

 

  1. (a)  Maimam sita walioandika “Sahihu Sitta”, vitabu vyao vinamadaraja tofauti ya usahihi wa Hadith. Changanua madaraja hao kutokana na usahihi wa Hadith.

(b)  Ni yapi masharti yaliyotumika katika kuhakiki usahihi wa Hadith?

      (c)  Bainisha aina kuu za Hadith.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Mambo yanayodhaniwa kuwa yanaharibu funga lakini hayaharibu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Zoezi
Maswali mbalimbali yanayohusu elimu ya dini ya kiislamu na mwongozo wa elimu na elimu mazingira. Soma Zaidi...

image Kuwapa wanaostahiki
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mambo ya lazima kufanyiwa maiti ya muislamu
Mambo ya faradhi kuhusu maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Haki za nafsi
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Haki za viumbe na mazingira
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Vita vya uhudi
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Tofauti kati ya fiqh na sheria
Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria. Soma Zaidi...

image Umuhimu wa funga ya ramadhan
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...