Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:Dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 5.
(a) Eleza maana ya haki na uadilifu kwa mtazamo wa Uislamu.
(b) Bainisha ni ipi misingi ya haki na uadilifu katika Uislamu.
(a) Orodhesha aina za haki mbali mbali.
(b) toa maelezo kwa ufupi juu ya:
(i) Haki ya Mwenyezi Mungu (s.w).
(ii) Haki za nafsi.
Fafanua hali ya utumwa kabla ya Mtume (s.a.w).
Kwa kutumia mifano halisi ya maswahaba, onesha jinsi Uislamu ulivyopinga na kutokomeza biashara ya utumwa.
Onesha upotofu wa Uislamu kuhusishwa na biashara ya utumwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha aina za najis. Pia utajifunza aina za twahara katika uislamu
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ambauo ni haramu kwa mtu asiye na udhu.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha taratibu za kuajiri, kufanya kazi na malipo.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukugundisha kuhusu maana halisi ya ibada ya swala.
Soma Zaidi...Kuingizwa au Kutolewa EdaKatika sheria ya Kiislamu hapana suala Ia kuingizwa au kutolewa eda na Sheikh.
Soma Zaidi...Post hii itakufundishabkuhusu mirathi ya kiislamu, maana yake.
Soma Zaidi...Fahamu darsa mbalimbali za fiqh kama swala, twahara, zaka pamoja na funga. Zijuwe sharti za swala, funga na zaka.
Soma Zaidi...