picha

Maswali juu ya haki na uadilifu katika uislamu

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:Dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 5.

(a)  Eleza maana ya haki na uadilifu kwa mtazamo wa Uislamu.

(b)  Bainisha ni ipi misingi ya haki na uadilifu katika Uislamu.

(a)  Orodhesha aina za haki mbali mbali.

(b)  toa maelezo kwa ufupi juu ya:

(i)  Haki ya Mwenyezi Mungu (s.w).

(ii)  Haki za nafsi.

Fafanua hali ya utumwa kabla ya Mtume (s.a.w).

Kwa kutumia mifano halisi ya maswahaba, onesha jinsi Uislamu ulivyopinga na kutokomeza biashara ya utumwa.

Onesha upotofu wa Uislamu kuhusishwa na biashara ya utumwa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/19/Wednesday - 09:57:57 pm Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2268

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰2 web hosting    ๐Ÿ‘‰3 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰4 ai web app    ๐Ÿ‘‰5 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana: