Maswali juu ya Mambo anayopaswa kufanyiwa maiti ya muislamu

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 3.

  1. Bainisha mambo manne ya msingi kufanyiwa muislamu mara tu baada ya kufa.
  2. Bainisha tofauti kati ya sanda ya;

(a)  Maiti ya mwanamke.

(b)  Maiti ya mwanaume.

(c)  Maiti ya toto.

  1. (a)  Taja nguzo za kuosha maiti.

(b)  Taja sehemu zinazofaa kutumika katika kuoshea maiti.

(c)  Ni zipi sifa za muosha maiti?

  1. Eleza hatua kwa hatua namna ya kumuosha maiti wa Kiislamu.
  2. Ni mambo gani maiti ya shahidi haitakiwi kufanyiwa? Taja mambo matatu.
  3. Fafanua ni kwa vipi unaweza kuandaa sanda ya maiti wa kike na kumkafini.
  4. Taja tofauti kati ya swala ya kumswalia maiti na swala ya kawaida.
  5. (a)  Ni yapi masharti ya kuswaliwa maiti wa Kiislamu?

(b)  Orodhesha nguzo za swala ya maiti.

  1. (a)  Eleza hatua kwa hatua namna kutekeleza swala ya maiti.

(b)  Taja mambo manne yaliyoharamishwa kufanyiwa kaburi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2486

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Jinsi ya kumuandaa maiti baada ya kufa

Haya ni maandalizi ya kumuandaa maiti baada ya kufariki.

Soma Zaidi...
Mifumo ya benki ya kiislamu.

Hapa utajifunza njia ambazo nenk ya kiislamu hutumia ili kujiendesha

Soma Zaidi...
Sunnah za udhu

Posti hii inakwenda kukufundisha kuhusu sunah za udhu

Soma Zaidi...
Mafunzo ya swala

Jifunze namna ya kuswali, zijuwe aina za swala na ujifunze masharti ya swala, kwa nini swala hazijibiwi? nini kifanyike?

Soma Zaidi...
Namna ya kurithisgha hatuwa kwa hatuwa.

Hspa utajifunza sasa jinsi ya kugawa mirathi kutokana na viwango maalumu.

Soma Zaidi...
Kwanini wengi wanaohijji hawafikii lengo la hijjah zao

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...