Maswali juu ya Mambo anayopaswa kufanyiwa maiti ya muislamu
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 3.
- Bainisha mambo manne ya msingi kufanyiwa muislamu mara tu baada ya kufa.
- Bainisha tofauti kati ya sanda ya;
(a) Maiti ya mwanamke.
(b) Maiti ya mwanaume.
(c) Maiti ya toto.
- (a) Taja nguzo za kuosha maiti.
(b) Taja sehemu zinazofaa kutumika katika kuoshea maiti.
(c) Ni zipi sifa za muosha maiti?
- Eleza hatua kwa hatua namna ya kumuosha maiti wa Kiislamu.
- Ni mambo gani maiti ya shahidi haitakiwi kufanyiwa? Taja mambo matatu.
- Fafanua ni kwa vipi unaweza kuandaa sanda ya maiti wa kike na kumkafini.
- Taja tofauti kati ya swala ya kumswalia maiti na swala ya kawaida.
- (a) Ni yapi masharti ya kuswaliwa maiti wa Kiislamu?
(b) Orodhesha nguzo za swala ya maiti.
- (a) Eleza hatua kwa hatua namna kutekeleza swala ya maiti.
(b) Taja mambo manne yaliyoharamishwa kufanyiwa kaburi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 ai web app 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 ai web app 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Mambo ambayo hayafunguzi funga
Hii ni orodha ya mambo ambayo hayawezi kuharimu funga yako endapo utayafanya.
Soma Zaidi...Swala ya jamaa na taratibu zake
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya jamaa na taratibu zake.
Soma Zaidi...