Maswali juu ya Mambo anayopaswa kufanyiwa maiti ya muislamu
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 3.
- Bainisha mambo manne ya msingi kufanyiwa muislamu mara tu baada ya kufa.
- Bainisha tofauti kati ya sanda ya;
(a) Maiti ya mwanamke.
(b) Maiti ya mwanaume.
(c) Maiti ya toto.
- (a) Taja nguzo za kuosha maiti.
(b) Taja sehemu zinazofaa kutumika katika kuoshea maiti.
(c) Ni zipi sifa za muosha maiti?
- Eleza hatua kwa hatua namna ya kumuosha maiti wa Kiislamu.
- Ni mambo gani maiti ya shahidi haitakiwi kufanyiwa? Taja mambo matatu.
- Fafanua ni kwa vipi unaweza kuandaa sanda ya maiti wa kike na kumkafini.
- Taja tofauti kati ya swala ya kumswalia maiti na swala ya kawaida.
- (a) Ni yapi masharti ya kuswaliwa maiti wa Kiislamu?
(b) Orodhesha nguzo za swala ya maiti.
- (a) Eleza hatua kwa hatua namna kutekeleza swala ya maiti.
(b) Taja mambo manne yaliyoharamishwa kufanyiwa kaburi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 web hosting 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 web hosting 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Swala ya jamaa na taratibu zake
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya jamaa na taratibu zake.
Soma Zaidi...benki za kiislamu na njia zake za kuingiza kipato
Benki za KiislamuBenki za Kiislamu ambazo hutoa huduma kama benki nyingine zinaendeshwa katika msingi wa biashara na sio ule wa riba.
Soma Zaidi...MAMBO YANAYOBATILISHA (HARIBU) SWALA YAKO
Lugha ya Swala Lugha ya swala,kuanzia kwenye Takbira ya kuhirimia Swala mpaka kumalizia swala kwa Salaam, ni Kiarabu.
Soma Zaidi...