Pata jibu kamili kuhusu swali lako
jee: mtu aka dungwa sindano ita haribu swaumu ya mtu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 994
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swalat haja inaswaliwa vipi? Samahani.na muda mzuri ni upi rakaa ngapi ? Dua au sura ipi?
Asalam aleykum,, samahan naomb kujua nini nifanye napokumbka marehemu
Hiviukiwa Umefunga swarm unarusiwa kumuadhibu MTU au
Asslm alkm?swali:mke wa nabii nuhu aligharikishwa au?
Assallam Allykum, sorry Kuna Wana ndoa waligombana na katika huo ugomvi mume akamtamkia mkewe kuanzia Leo sio mke wangu Kwa talaka Moja, alaf hata nusu saa haikufika mume akaomba radhi Kwa mkewe na kufanya tendo la ndoa Kwa madai ya kutengua talaka je, mume yupo sahihi kweli ktk hili?!
Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?