Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Utaswalibmuda wowote, utawaona sura zozote, utaanza na rakaa mbili, utazidisha rakaa kadiri uwezavyo
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kusuka nywele zauzi ukaunganisha kichwani nimakosa au simakosa
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?
Asalam alykum warahmatullah ,Je zakat al fitr yafaa kuwatolea wote unaoishi nao ama waliofunga pekee?
Assalaam alaykum warahama tullah, shekh Mimi nataka duwa ya kutosherezwa na Allah katika jambo langu je nitaipataje nataka kui hifazi.
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum
Nataka kujua jinsi yakujua swala wakati wakuswali