Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Aesalam alaykum je kur an imeshushwa kwa mudagan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1192
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Dai lakuea mtume muhammad anafundishwa quran na watu na udhaifu wa madai haya
Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni Barakallahu fikum
Hlw ,am sami ,na shida ya macho Kwa mda mrefu je nikitumia vita hivi nitakuwa sawa Kwa mda gani ?