Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalam alaykum naomba kuuliza ya'juj na mu'juj ni viumbe gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 357
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Jana alikuja alielua mume wangu akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai
Assalamualaikum naomba kujua vigez vinavyofanan vya uhakiki wa hadithi, vya imamu bukhar na muslim
Katika mitume 25 walopewa ilmu na hikma ni wangapi na ni akina nani? Wabillahi taufiq
Mume kampa talaka mkewe baada ya siku mbili tatu mume kamuhitaji mtalaka wake na wakakutana wakafanya yao, lakini hajamtamkia kama kamrejea, je hapa atakua kashamrejea au amezini nae?*
Assalaam aleykum warahmatullah wabarakat..nilikua naulizia hivi zakatul fitr inafaa kutolewa kwa wakristo??
Asalam aleykum nauliza kwamba uko ndani ya ndoa ila umesahau kukoga janaba unaluhusiwa kufunga