Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante kwa elimu je maandazi ni chanzo cha maji
Hapana maandazi sio chanzo cha maji. Maandazi na vyakula vingine mfano wake sio chanzo cha maji.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ni sababu zipi zunapelekea kizaz kusogea
Dokta mm tumbo langu laniuma mda mwengine nikimaliza kula ama nikimaliza kwenda haja kubwa nkikaa na njaa yani huniuma lote naomba sulution
Habalì naomba niuliźe mimi nimeng'atwa na nyoka lakini meno yake hayajatoka
kusinya kwa korodani moja pamoja na kuwa na maumivu nako tezi dume?
sorry nitajuaje kama nyoka kaning'ata mara tu baada ya kumkanyaga
Samahani Mimi namahusiano na mtu anaetumia dawa za vviu mimi cina je nisipotumia kiga na pakawepo na msunguano nawezakupata maambukizi