Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalam alaykum nauliza eda ya khulu Ni muda gani? Na wanaweza kuregeana?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 753
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam aleyikum warahmatullah wabarakatuh swali langu ni hivi mimi nimeolewa miaka 8 iyopita ila mwaka juzi mwezi12 Allah akanitahin nimepatatihani wa maradhi ya ganzi yamepelekea kutokutembea mama zamani,mume wangu ameniuguza mpaka mwezi wa 7 mwaka jana akanitelekeza yani aniudumii mimi wala mtoto na nikimpigia simu anaongea hovyo tu nimeamua kumdai talaka ataki kunipa lakini hivi karibuni ameniatamkia maneno Machafu kua ataki kunipa talaka kwakua ajawahi kunioa na ajanopenda hata siku1 mimi nikampiga mshenga na shahidi nao wakajaribu kizungumza nae akawakatia Simu swalilngu je,naweza kujivua kwenye ndoa hii?au nifanyeje mpaka nipate haki yangu ya talaka
Neno kusai lina maana gani katika hijja?
Unatoa maoni gani iwapo wanaojua watakuwa sawa na wasiojua kiutendaji
ikiwa marehemu kaacha mke mmoja na watoto watano wakiume na wakike wawili hawa mgawanyo wao upo vipi
Je ukitokwa na manii baada ya kufungua kinywa Kuna batilisha funga Yako ?
Mimi ni ustadh nafundish madrasa sasa nimeombwa hapa kwenda kufundisha edk secondary
Sasa mnaweza nisaidia notes lakini namna ya kuandaa majaribio