Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Doctor napatwa na maumivuu upande wa kulia na hedhi inatoka matone tu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1188
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm nimjamzito nanimefikisha miezi Tisa mtoto anatuna sehem Moja maumivu yanakua makali tatizann namgogo
vifaa vinavyotumika kumsafisha mwanamke sehemu za siri
Maziwa kuuma Kwa mbali kuskia gas tumboni na kuwasha kidgo maziwa ni chanzo Cha mimba
Sorry lkn mm sikuyahatari ilii kuwa tarehe 15 lkn nikalala na mwanaume tarehe 16 lakini mwanaume hakuweza kuingiza uume wake aka mwagia nje je Kuna uwezekano wa kupata mimba
Naomba niulize natumia vidonge vya uzazi wa mpango ila nilisahau siku moja lakini sikushiliki siku hiyo nilikuja kushiki siku ijayo lakini nilikuwa nimekumbuka kumeza siku iyo je naweza nikawa na mimba
Nauliza ni dalilizipi mwanaume znaweza kumfanya ashindwe kutunga mimba