Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ety mwanmke akishapita siku zake za hatari je zinaweza kurudi tena kabla hajapata hedhi nyingine ata kama akikaa miezi miwili
Haziwezi kurudi tena mpaka amalize hedhi yake.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dawa inayo zuia chango linalo toa mimba ni nini?
Vidonda vyatumbo hasa uhuma maeneogani, pemben mwatumbo, maeneo yakat kat yatumbo
Tumbo linapata gas nalinajaa sana. Kunawakati nahisi vitu vinatembea timboni
Samahani naomba kuuliza je kama mwanamke huendi mwenzini ila uteute wa damu ukiwa unana unatoka uwezekano wa kupata mimba upo
Mfano umelala na mtu ukatumia kinga kwenye shugli gafla ukashtukizia CD imepasuka gafla ukatoa apo Kwa apo ivo unaeza ambukizwa vvu
Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume