Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nijins gani yakuandk talaka
Mfano: Mimi Rashid Hamadi Issa leo tarehr 17/2/2023 nimemuacha mke wangu Zawadi Hosseni talaka moja.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swalaa ya istikhara yaswaliwa vip???
Naomba kuuliza je mwanamke akiwa katika sikuzake anaruhusiwa kufunga
Assalamualaikum napenda kuhuliza kwenda kwa mganga kuchukua dawa ambayo sio ya kumzulu mtu niya matibabu tu je ni sawa
je kuna hukumu ukifunga siku ya kufungua sita?
Nna umri wa miaka 32 jinsia yangu ni Mwanamke, nilikua nauliza ni haram kunyoa nywele kwa kizuka siku ya 40 baada ya kufiwa
Au mpaka inapofikia miezi 4 na siku 10 ndio anyoe ?
Naomba kujua tofauti kati y hadithi qudsi na hadithi nabawiy