Pata jibu kamili kuhusu swali lako
haloo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1297
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hellow habari naomba nisaidie kuslove tatizo hili kwenye MacBook laptop nilitaka kuadd wifi nilienda kwenye icon ya wifi then naenda kwenye network preference Niki click tu inaniletea preference error "there was an error in network preference" Sasa nimejaribu kurestart laptop lakini bado hiyo error haijatoka naomba kusaidiwa .
Kwema mkuu, Naomba Namna ya kufahamu au kujuah vitu baada ya kutengeneza blog. Kama ku edit katika blog na copy matangazo kwenye Facebook, YouTube, Instagram hadi kwenye blogs
Habari zenu wakubwa
Kwa application kama hizi za kujisomea zile notes zinakua uploaded kwa njia gani??
Natka nitengeneze mobile app ya kujisomea ila sijajua nianze vipi naomba msaada wenu
Language ni javascript
Ety mbn Kila nikiwek code ya kuwek picha inakataa shida nn
Assallaam Alaykum he ? Ukitaka kifungua bolg yako kinatakiwa Nini na Nini ili nikamilishe kufungua blog yangu mwenyewe
Jamani nisaadieni hv vitu nataka nijue kuweka sehemu ya kuweza kupost file kwa ajili ya web user na iwe na sehemu ya comment na share
MSAADA JAMAN?