Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hivi kutokwa na maji maji kwenye uume ni tatizo gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 956
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Et kupt maumv makal ya tumbo chini ya ktov yanaeza ikawa dalili ya ujauzito,,,afu na kipimo Cha ujauzito kinaanza kusoma kwa muda gan
[2/Sorry doctor nna maswal mengi coz nlijua cku ya kumi ni safe
Na implantation bleeding ni lazima kutokea na inatokea kwa mimba yenye mda gani
Hi Presha huwa inanisumbua nitumie nini ili ishuke?
Asante Kwa kutuelimisha juu ya ugonjwa wa u.t.i, je vyoo vya kukaa vinaweza kuambukiza u.t.i?
Habar naomba kufahamu zaid kuhusu dalili za minyoo je pia unaweza kuwa nahici mwili kuwaka moto au haswa kwenye mwanga au joto adi unataman kupulizwa na upepo
Nauliz ety ukifanya tendo siku ya kwanz ya siku zako kunauwezekan kuwa unawez pata mimba