Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hv ukiwa unatumia dawa ya salbuta inaweza sababisha milio sikioni
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 312
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari ya saa,Naomba kujua mke wngu ana mimba ya mwezi mmoja sasa ila akivua chupi yake huwa na ute ulio changanyik na damu kiasi ,hii ni dalili gan naomba msaada
Mm ni binti mwenye miaka 20 mara ya mwisho kupata hedhi ilikuwa tereh 5/2 ila mpka leo tareh 8 cjaon chcht na leo asubuh nmepima upt ni negative naomba ushaur jaman cjui nifany nn
Hello nina swali? Na kwa mwanaume kuumwa na tumbo na kukosa hamu ya kula chakula baada ya tendo nini tatizo? Vyakula vya mafuta harufu yake inakufanya unatapika.
Naweza kua na upunguf wa nguv za kiume na nikshilik naenda muda mlef mpak mwenzangu anasema anechok wakat mm sijajua haj yang?
Kuhala sana ndio dalili za mwanzo pia au mpaka ugojwa ukomae
Toka nianze kupata hedhi yangu sijawahi pitisha mwezi sijapata lakin saiv nimeona mabadiliko sijapa hedhi yangu mwezi mmoja toka nimeingia mwezi wa pili tarehe 22 sijapata tena na pia nakuwa najisikia mchovu mwili pia kichefuchefu mara mojamoja baada ya kla chakla sijajua hii ni shida gan naomba mnisaidie