SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #990 05-04-2023 04:09:21
Question Icon

Ikiwa mke ana Tatizo la kiafya ambalo linapelekea kutoweza kushiriki tendo la ndoa na mumewe. Kuepuka dhambi za kuzini Mumewe akawa anapitisha pitisha uume wake Katika matako ya mkewe bila kugusa tundu la haja kubwa la mkewe akawa anahisi hisi joto mpaka mume anamaliza haja yake (anakojoa). Je, Sheria katika uislamu inasemaje katika suala hilo.

Samahani

Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.


Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 990

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi