Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je fangas Usababisha mtu ukiwa period kwenda mda mrefu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 183
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kama nahisi maumivu kwenye kinena nililala hata nikitembea ndio kabisa mimba yangu cjui Ina week ngap lakini nahic miezi 9 imefika
Bibi yangu amemaliza almost 2months hajapata cku yake ya hedhi na Hana mimba
Mwanamke anapokutana na mwanaume kwa siku yake ya kwanza hupata mabadiriko gani katika mwili wake?
Kama mtu mzunguko wako wa kawaida .naukafanya tendo la ndoa ukiwa kwenye hedhi utapata mimba?
Jaman naomba kusaidiwa nimekunywa majibu kwà lengo la kutoa mimba changa lakini tumbo linaniuma chini ya kitovu,nimeharisha ,it's mzigo sanaa umetoka ukiwa na rangi ya maziwa na tumbo likiwa linauma ni kama vile nataka kuingia period je mimba umetoka au bado
Hivi kw mfano tupu mbili zikakutana ya kike na yakiume lkn ile ya kiume ikawa haijazama ndani yaani namaanisha imeekeshwa tu kweny uke bila kuzama ndani ule uume je panauwezekano wa kupata mimba