Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je maji kwenye ovari ni dalili ya kukaribia kwa hedhi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 490
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninasumbukiwa na uvimbe wa titi nitajuaje kama uvimbe ni wakaida na nimda gani nikae ili nikamuone doctor?
nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .
Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.
Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa
Sijapata majibu Dr kucha hiyo kwa Sasa inawasha kwa ndani
me niliwahi kukutana na msichana wiki kama tatu hiv zilizopita sasa baada ya hapo nikawa na wasiwasi coz nasikia mwili unawasha mara kwa mara sijajua shida ni nini labda waweza jua shida ni nn?
Mimi ninadalili zote za ujauzito ila nkipima negative sijui nn shda
Kama nahisi maumivu kwenye kinena nililala hata nikitembea ndio kabisa mimba yangu cjui Ina week ngap lakini nahic miezi 9 imefika