Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Na je Kuna complication gan anazopata mtyu akitoa ujauzito wa wiki mbili
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 539
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Sorry lkn mm sikuyahatari ilii kuwa tarehe 15 lkn nikalala na mwanaume tarehe 16 lakini mwanaume hakuweza kuingiza uume wake aka mwagia nje je Kuna uwezekano wa kupata mimba
Naomba unisaidie nashida moja kweny koo nikila pipi au k2 chochote chenye sukar naskia kooo linakaauka itakuwa ni shida ya nn
Kinga ya mwili hupatikana vipi?
Mm tatzo langu asubuhi nikiamka utumbo unakuwa unauma misili yakuwa kama nna sku tatu sjala
Samahani ninatatizo la moyo kwenda mbio hasa nyakati za asubuhi nikiwa naamka alafu nikitembea kidogo tu nachoka,je tatizo Hili husababishwa na nini?
Habari Mimi tumbo linauma upande wa kulia ila tumbo linajaaa gesa na kukojoa kila saaa Kuna mda linau ila nikitoa hewa tuu linaachia na maumivu yanapungua sijui shida itakua ni nini