SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #224 07-02-2023 12:57:49
Question Icon

Mom nilifanya mapenzi na  mdada kufanya mapenzi Mimi nilikua nimetumia Kinga lakini nilipomaliza kufanya mapenzi nikakuta kwenyemwiliwangu amenipaka damu  Sasa hapo ndo hofuyangu kubwa kuwa nimepata ukimwi

JIBU

Endapo atakuwa ameathirika kweli,  na hiyo damu akawa amekupaka kwenye sehemu yenye jeraha ama mchubuko,  yes upo uwezekano wa kupata maambukizi. 

 

Hata hivyo hatuwezi kusema kuwa umeathirika bila vipimo. Kwani sio kila utakaposex na kuathirika na we utaathirika. Pia kuathirika ambaye anatumia dawa vyema sio sio rahisi kuambukiza kama yule asietumia

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi