Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kutokwa maji yenye harufu na maumivu ya tumbo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 102
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari pole na majukumu kuna kipindi nilianza kuumwa chini ya kitovu nikaambiwa nina uvimbe nikapewa dawa nikamaliza dose lkn nikawa napata maumivu lkn sio ya kila siku hethi kuvurugika ovyo maumivu makali kipind cha heth nikawa natumia tu dawa za maumivu
Sasa saivi naskia kitu kinacheza tumboni chini ya kitovu na mda mwingine kama kinavutaa nikienda kukojoa naskia maumivu kama kitu kinashuka chini mda mwingine maumivu ya tumbo kama vichomi
Na tumbo lng linaumuka
Ahaaa sawaa........Ila samahani Mimi niliingia kwenye siku tar 17-1... Ila siku nlomaliza nimesahau ......nkakutana na mume Wang tar 30-1 na tar 3-2...sasa ni siku gan nlipata mimba na Ina muda gan had saiv
Tumbo kuuma chini ys kitovu
Alafu hiv nikweli tende inaongeza nguvu za kiume na je kama inaongeza how it's Function, please Doctor may help me
Je!mtu mwenye ameathitika unaweza kulala nae
Asante Kwa kutuelimisha juu ya ugonjwa wa u.t.i, je vyoo vya kukaa vinaweza kuambukiza u.t.i?