Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi ni muhanga wa uvimbe kwenye titi na ninanyonyesha
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 354
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asante mimi ningependa kuuliza swali kwamba nimeshiriki tendo la ndoa cku ya 12 adi siku ya 16 but mabadiliko ninayoyaona ni tumbo kujaa ges, kuchoka bila sababu, na tumbo la chini kuniuma kwa sana na leo ni siku ya 11 yani tumbo linavuta mpaka basi
Ningependa kujua iyo nayo ni dalili ya mimba changa kwangu ama
Mtu anaeza pata mimba akimwangiliwa inje,Alf period ilikua imeisha na pia yai ikatoka mtu anaeza pata mimba akii
Niliingia hedhi kwa mwez mara mbili ndipo nilipenda kupiga utra sounds nikapewa dawa za wk 2 akasema hayo maji yanasababishwa na PID sasa dawa zimeisha leo bado anasema mayai yapo vzr ila kuna maji
Na hajanipa dawa kasema nikae baada ya wk 3 niende tena
Nasumbuliwa na acid tumboni inawezakuwa sababu ya mm kutoshika ujauzito??
Nauliza kutokww na uchafu kama usaa na unaharufu mbaya baada yakumaliza period unaakaa kama wiki alafu ile hali inapotea
Mke wangu ni mjamzito anategemea kujifungua mwezi huu ila naja amelala na maumivu ya tumbo mpaka asubuhi . ila muda huu amenipigia simu kuwa anaona matone ya damu yanatoka ukeni pa maumivu yanaendelea.