Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kula chakula ni ibada Au ni ada
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 663
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naitaji mwalimu video lamda Kwa uelewa zaidi juu ya sanda ya mwanamume na mwanamke
Je? Unaswaumu halafu umezaa nje mtoto mama kaomba hela unaruhusiwa kuto?
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum
Jee nduguzake na Nabii YUSUFU walikua na mama mmoja au kila nduguye na mamake?
Wazazi na watoto wana wajibu gani katika uslamu na jamii yao
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Samahani naomba kufahamu kwa mwanamume alie muacha mkewe kwa talaka tatu nikipi kifannyike ama taratibu gani zinapashwa zichukuliwe ili mwanamume huyo aweze kuishi tena kihalali na alie kua mkewe.